chinchilla coat
JF-Expert Member
- May 16, 2016
- 5,107
- 10,963
Shehena ya matunda ya wafanyabishara wa soko la Kirumba jijini Mwanza imeharibiwa kwa kukatwakatwa na watu wanaoshukiwa kuwa watendaji wa halmashauri ya Ilemela na kusababisha hasara ya mamilioni kwa wakazi wa jiji hilo
Mgambo ndio waliotumwa kutekeleza kitendo hichomusiku wa kuamkia Ijumaa kushinikiza wafanyabiashara kuhama kwenye soko hilo
Wafanyabiashara hao wameongea kwa masikitiko wakisema biashara yao wameifanya kwa fedha za mikopo na hawajui watazilipaje na Rais Magufuli alishawaruhusu wafanye biashara yao kwenye maeneo yasiyo rasmi hadi watakapotafutiwa sehemu nyingine,
mkuu wa wilaya ya Ilemela alitembelea sehemu hiyo na kukataa kuongea na waandishi wa habari na mkurugenzi wa jiji hilo alipotafutwa hakupatikana
biashara katika soko hilo zilisimama kwa siku nzima huku kukiwa na ulinzi mkali wa polisi
Mgambo ndio waliotumwa kutekeleza kitendo hichomusiku wa kuamkia Ijumaa kushinikiza wafanyabiashara kuhama kwenye soko hilo
Wafanyabiashara hao wameongea kwa masikitiko wakisema biashara yao wameifanya kwa fedha za mikopo na hawajui watazilipaje na Rais Magufuli alishawaruhusu wafanye biashara yao kwenye maeneo yasiyo rasmi hadi watakapotafutiwa sehemu nyingine,
mkuu wa wilaya ya Ilemela alitembelea sehemu hiyo na kukataa kuongea na waandishi wa habari na mkurugenzi wa jiji hilo alipotafutwa hakupatikana
biashara katika soko hilo zilisimama kwa siku nzima huku kukiwa na ulinzi mkali wa polisi