watu wanakwenda makanisani/misikitini kufata ibada na sio siasa, kama tunataka kusikia siasa basi tutahudhuria mikutano isio isha ya CDM na CCM. Sehemu za ibada zizungumzie ibada na bungeni wazungumzie siasa.Ndugu yangu naomba nikusaidie kidogo kufikiri, hawa tunaowaita wanasiasa pia ni wa madhehebu ya kikristo, kiisilamu na hata wasio na dini pia, mathalani ww ni mkristo, kukicha wanakuandika kwa ufisadi (kweli/uongo), mchungaji akikemea utasema anafanya ama anataka kuwa mwanasiasa hapo, hivyo tuache wanasiasa wafanye watakavyo? wachungaji na/ama mashehe nao wanahaki kikatiba kwa sababu ni watanzania kuchagua/kuchaguliwa ktk nafasi za uongozi wa nchi hii, na kujadili pia. MNAPOAMINISHWA NA WENYE DHAMANA KWAMBA VIONGOZI WA DINI WASIONGELEE SIASA MJIONGEZE KUFIKIRI, OTHERWISE KICHWA CHA NINI SASA KAMA HUWEZI KUKITUMIA KUFIKIRI SI HERI UBAKI NA SHINGO PEKEE