Kibo10
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 11,277
- 8,840
- Thread starter
- #81
Hivi kina masamaki wana husiano wowote na hii hali kweli,Au ni baba mkubwa kaingia nyumba mpya na gunduNdugu yangu we acha Tu, tena kwa hapa Arusha watu wanavyopenda pombe, bar zimekauka, Yan kila mtu analia, elfu kumi best haitoshi