Yes coz hela za dili zimepungua sana au zimetoweka kabisa, so kila mtu anakuwa makini na hela yake maana hana uhakika kama kesho atapata nyingineHivi majipu yana husiano wowote na hii inshu.
Hahaha, hali mbaya kweli...
Ngwasuma nako majina yamesitishwa kutajwa mkuu.Nyoshi weekend iliyopita aliimba wimbo bila kurusha jina la papa
Duu umenikumbusha mbali sana kisha unashushia na janiHa ha ha ha nina kama week siijui chai, naamka nimechelewa nasonga ugali tu, sio kwamba sipendi chai ila mifukooooooo imetobokaaaa
tunaotongoza tunakumbana na mauza uza kwani wewe unayetongoza mdomo umekukauka na huyo mtongozwaji lips zimemkauka utadhani jangwa la sahara. shikamoo rais dr. magufuli hakika unatunyoosha baba!
Sisikii tena zile mbwembwe za vijana kushinda Samaki Samaki, Maisha club na kwingineko wanakouza sura
hahahahahaha
sasa kama zaman iyo hali ndio ilikuwa ngumu najiuliza je sasa hivi itakuwaje?Ha ha ha ha nina kama week siijui chai, naamka nimechelewa nasonga ugali tu, sio kwamba sipendi chai ila mifukooooooo imetobokaaaa
Jamani siasa ni maisha, Ebu tuelezane wajasiria mali wenzangu.
Hii hali ya mfukoni mnaionaje? Mbona mifuko ya watu nahisi imetoboka sana. Namaanisha mfukoni hela wengi hawana. Nina ka biashara kangu sehemu flani ki ukweli pato limeshuka mpaka naingia uoga.
Tatizo nini haswa? Kila ninayemuuliza analia kama mimi. Baadhi wanasema nisubiri Bunge la bajeti lipitishe 2016/2017 najiuliza upo uhusiano kweli?
Hali ikiendelea hivi, Pango linaweza kuwa mtihani achia mbali watoto shule na mahitaji yao muhimu.
Naomba Mungu na kule Zanzibar patokee maridhiano maana wafadhili nao wakifunga koki ndio balaa zaidi.
Mungu atusaidie wakuu hali ni ngumu kweli kweli sijuwi tu kwenu.