Hali ni mbaya Tarime: Polisi watembeza Mabomu usiku huu; Kina Lissu wakamatwa

ni vema watu wakawa watulivu! Pia tujiulize chanzo cha tatizo ni nini! Je, waliouawa walikuwa wanavunja sheria? Na je hatua ya polisi kuwaua ni justified?
 
Ni sahihi washitakiwe maana Lissu na usomi wake wote na heshima tuliyokuwa tunampa huyo dogo sasa amegeuka kuwa na akili mbofu sababu ya slaa na mbowe. Siasa za nguvu za hata kulazimisha kuchukua maiti ili kujinufaisha kisiasa nasema ni ujinga sana ambao kama hautakemewa kama ambavyo ufusadi haukemewi ipasavyo nchi itaishia kubaya, bado tunataka amani watoto wetu wasome kwa raha huku tukihangaika utafuta pesa kwa amani

kwa akili kama zako sitakulaumu nikisikia umelalwa na mbwa
 
Hongereni na Tuvishukuru vyombo vya dola kwa kuwaonyesha watanzania mpo kwa ajili gani! Makosa ya ufisadi mtajibu HATUKURUPUKI au ushahidi hautoshi! Ila kwa washindani wa kisiasa mko very fast kuarrest na kupeleka kesi mahakamani! Hongereni kwa kuzidi kujidhihirisha mnafanya kazi kwa maslahi ya nani! Historia inazidi kuandikwa na itawahukumu
 
hakuna cha kiherehere hapa, watu wamekaa mbele ya computer zao halafu wataka kujifanya wajeshi. Nendeni Tarime mkaandamane kama mlivyoa ndamana Mbeya. Si mlijua mtafanya upuuzi wenu kila sehemu.

Harakati zina formula nyingi ndugu yangu na sio kuwa mstari wa mbele kila mtu na ndio maana vitu uenda vikiratibiwa!Mipango ndio inafanya kazi na kwa taarifa yako katika harakati za kisasa mstari wa mbele wanakuwa watu wachache tu lakini wanasaidia mambo mengi sana!Kama umesoma vyuo vya hapa nchini unaweza kuelewa otherwise kama ni kuku mtamu pole sanaa!
 
Ahahaha, Chadema-kata kakasirika, wabunge wenu wa viti maalumu mchakato wenu wa kuwapata ni Uchagga na ujamaa, mfano kidogo nakupa. Dada yake Tindu Lissu kapewa ubunge, mtoto wa Ndesamburo kapewa ubunge, demu wa Dk Slaa wa zamani kapewa ubunge, nimekutajia hawo kwa uchache endelea kukasirika Chadema-kata

Kavae nguo ni mchana ati.
 
Kuna tukio kama hili liliwahi kujitokeza ktk mgodi wa BUZWAGI ambapo polisi TZ walizingatia hoja zenu za kutotumia risasi za moto kwa wavamizi wasio na siraha hizo... MADHARA YAKE polisi wa kike alibakwa na wavamizi hao hadi kupoteza fahamu, wale wa kiume walijeruhiwa vibaya na wote kulazwa bugando, lakin pia waliporwa Silaha 2 smg zikiwa full risas. Baada ya muda silaha hizo zilikamatwa Nzega ktk matukio ya ujambazi wa kuteka magari ambapo baadhi ya abiria wasio na hatua waliuawa. Swali la msingi je ni Haki waliyofanya hao wavamizi kwa polisi wetu na abiria kule nzega? Je hawa wavamizi tuwaite majambazi kwa kuteka magari kule Nzega lakin tuwaite raia wema wasio na silaha walivyo kwenda kuvamia na kufanya madhara machafu kwa askari wetu... Je ni nani alilikemea hili na kuahidi kuwatibisha wale askari pia kuwazika abiria waliofariki kwenye tukio la ujambazi? Au wao hawana haki ya kutetewa.. NAHISI TUNATAFUTA UMAARUFU WA KISIASA.

Sijui kama kuna mtu ataunga mkono ujambazi kwa hili kuna utata ndiyo maana hata serikali imejichanganya ilitaka kuwapa mil 3 wafiwa, je zilikuwa za nini? je huu niutaratibu mpya wa serikali yetu?...katika uchungu inasemekana wamepigwa risasi ya mgongoni, je sheria inasemaje? kwa mjibu wa serikali walisema watu kati ya 800 -1000 ndiyo walio vamia, je wewe unapata picha gani watu 1000 kuungana na kuamua kwenda kuvamia sehemu...je hili ni tukio la ngapi hapo Nyamongo, je serikali inachukua hatua gani kukomesha mauji hayo...au wanaongeza risasi na walizi...Hapo barick Kuna walinzi wa makampuni tofauti tofati...kuna kipi nilifika pale nilikuta kuna KK Guard, Walinzi wa wa kampuni yenyewe, kamera na Polisi...makampuni ya kuchimba madini huwa na ulinzi huu au kwa kuwa wanajua wanacho kifanya kwa wananchi ndiyo maana hawajiamini?
 
Ni sahihi washitakiwe maana Lissu na usomi wake wote na heshima tuliyokuwa tunampa huyo dogo sasa amegeuka kuwa na akili mbofu sababu ya slaa na mbowe. Siasa za nguvu za hata kulazimisha kuchukua maiti ili kujinufaisha kisiasa nasema ni ujinga sana ambao kama hautakemewa kama ambavyo ufusadi haukemewi ipasavyo nchi itaishia kubaya, bado tunataka amani watoto wetu wasome kwa raha huku tukihangaika utafuta pesa kwa amani

CCM ama kwa kutojijua au kwa kiburi wamekuwa kwa muda mrefu sasa wanacheza ngoma ya Chadema. Strategies zao (CCM) zinawafanya waonekane kama wako kwenye suicide mission. Walianza na Zitto - akawa hero, akaja Lema, na sasa Ester Matiko. Lissu tayari ni hero lakini baada ya hii kesi ya Tarime atakuwa ni mwakalishi wa Mungu Tanzania. lets wait and see.
 
Ni sahihi washitakiwe maana Lissu na usomi wake wote na heshima tuliyokuwa tunampa huyo dogo sasa amegeuka kuwa na akili mbofu sababu ya slaa na mbowe. Siasa za nguvu za hata kulazimisha kuchukua maiti ili kujinufaisha kisiasa nasema ni ujinga sana ambao kama hautakemewa kama ambavyo ufusadi haukemewi ipasavyo nchi itaishia kubaya, bado tunataka amani watoto wetu wasome kwa raha huku tukihangaika utafuta pesa kwa amani

Boma nadhani haujui historia ya Tundu Lisu!
 
Mtihani mwingine kwa Pinda na Makinda kikao cha bunge kijacho. Na hii ya mahakama ya mwanzo imekaaje? Maana huko mawakili hawatakuwepo, na hakimu wa mahakama ya mwanzo ni rahisi kupokea amri za wanasiasa kama DC,RC nk.
 
Kuna mtu ana habari za kutoka Tarime mchana huu ? Je mazishi yamefanyika ? Tundu na wenzake wameachiwa ? Sababu za kukamatwa Serikali imesema ?
 
Huu ndio UTAWALA WA SHERIA. Huwezi mkamata mtuhumiwa ukajichulia sheria mkononi. Ni lazima sheria ichukue mkondo wake na nilazima mahakama tuipe uhuru wake... TUNDURISU imenidharirishwa mwanaharakati mwenzio... Vifo vilivyotokea huko si vya kichama, inawezekana hata marehemu walikuwa hawana kadi za CDM. nini kilikupeleka huko kama si UCHOCHEZI? Any way nisikudhoofishe zaid tusubiri sheria itasema nin.
Rai ya CDM ni kutetea wanyonge. Sasa wewe ulitaka wafanye nini ili kuwatetea wanyonge wa Tarime dhidi ya hao wanyonyaji? Use you head and not your ass!! MORON!!!!!!!!!!
 
  • Thanks
Reactions: 911
Kwanini wewe unamwamini Regia mtema? let ushahidi

Michuzi kuandika hivyo katumia waandishi wake ndomana kaleta huu ukweli

Yani wewe ni gamba hata sijapata kuona, itv wameripot kama regia alivyoripot sasa nimuamini michuzi muongo ili iweje. kwanza usinipotezee muda wangu "siteta na vitonto ng'ombe je ramoke", kwenda huko.
 
Mh. Regia

Serikali ina nguvu na lazima hilo tulitambue!

Kama unataka kujua nguvu ya Serikali tazama kwa jirani zetu kwa Mh. Kaguta. Tupia macho na uone kinachoendelea Libya. Tusione Mh. J.K na Serikali yake wamefumbia macho baadhi ya mambo tukadhani hawaoni, hawajui wala hawasikii. Tukumbuke uchaguzi umeishapita, hivyo sidhani kama Rais Kikwete anashindwa kufanya kama anayoyafanya Rais Kagame au Rais Museveni. Pamoja na kasi hii CDM, lakini lazima tuchanganye na zetu pia!

Join Date : 22nd May 2011
Posts : 10
Thanks0Thanked 4 Times in 1 Post

Rep Power : 0

Umechelewa huwezi kututishia nyau
 
Back
Top Bottom