Hali kama hii nani atalipa kodi kwa hiari?

Chakaza

JF-Expert Member
Mar 10, 2007
39,803
71,229
Kodi inalipwa kwa ajili ya maendeleo ya taifa lolote husika na kuhudumia raia wake. Kanuni hii ya kulipa kodi ilikuwepo ulimwenguni miaka mingi hata kabla ya Yesu.

Kwa Tanzania katika miaka mingi ya karibuni CAG na vyombo mbalimbali wamefichua ukwapuaji endelevu mkubwa wa fedha za umma na watu wakiwa ni wale wale kila mwaka na hakuna hatua za wazi zinachukuliwa.

Sasa kubwa kuliko yote ni kuwa katika ripoti ya 2021/22 iliyoko bungeni inayoonyesha takribani robo ya fedha tukusanyazo zinaenda katika ubadhilifu, Spika wa Bunge (kwa maelekezo toka juu) anawazuia wawakilishi wa wananchi (hata kama ni wamchongo) kuijadili tena eti hadi Novemba.

Katika hali hii ni nani kwa hiari yake kabisa anaweza kulipa kodi akijuwa inaenda kuliwa na majambazi wajiitao viongozi?
 
Usipolipa kodi utakuwa umetenda kosa la jinai na kuwa kundi moja na hao wahujumu uchumi. Hiyo siyo sulution bali ni kuongeza tatizo.

Kwa nini hiyo nguvu ya kukataa kulipa kodi usiihamishie kwenye harakati za kuwawajibisha hao vibapara walafi? Au unawaogopa? Think!
 
20230414_094205.jpg

We lipa kodi yako haraka bila shuruti! Wenzako tuna watoto wa kusomesha yanatakiwa mahela mengi mengi!
 
Kodi inalipwa kwa ajili ya maendeleo ya taifa lolote husika na kuhudumia raia wake.
Kanuni hii ya kulipa kodi ilikuwepo ulimwenguni miaka mingi hata kabla ya Yesu.
Kwa Tanzania katika miaka mingi ya karibuni CAG na vyombo mbalimbali wamefichua ukwapuaji endelevu mkubwa wa fedha za umma na watu wakiwa ni wale wale kila mwaka na hakuna hatua za wazi zinachukuliwa.
Sasa kubwa kuliko yote ni kuwa katika ripoti ya 2021/22 iliyoko bungeni inayoonyesha takribani robo ya fedha tukusanyazo zinaenda katika ubadhilifu, Spika wa Bunge (kwa maelekezo toka juu) anawazuia wawakilishi wa wananchi (hata kama ni wamchongo) kuijadili tena eti hadi Novemba.
Katika hali hii ni nani kwa hiari yake kabisa anaweza kulipa kodi akijuwa inaenda kuliwa na majambazi wajiitao viongozi?
Hujui sheria ya kodi
 
Kodi inalipwa kwa ajili ya maendeleo ya taifa lolote husika na kuhudumia raia wake. Kanuni hii ya kulipa kodi ilikuwepo ulimwenguni miaka mingi hata kabla ya Yesu.

Kwa Tanzania katika miaka mingi ya karibuni CAG na vyombo mbalimbali wamefichua ukwapuaji endelevu mkubwa wa fedha za umma na watu wakiwa ni wale wale kila mwaka na hakuna hatua za wazi zinachukuliwa.

Sasa kubwa kuliko yote ni kuwa katika ripoti ya 2021/22 iliyoko bungeni inayoonyesha takribani robo ya fedha tukusanyazo zinaenda katika ubadhilifu, Spika wa Bunge (kwa maelekezo toka juu) anawazuia wawakilishi wa wananchi (hata kama ni wamchongo) kuijadili tena eti hadi Novemba.

Katika hali hii ni nani kwa hiari yake kabisa anaweza kulipa kodi akijuwa inaenda kuliwa na majambazi wajiitao viongozi?
Inauma saana mkuu
 
Hao waliokwapua waliagizwa hivyo, Ili fedha hiyo iende kwenye kazi maalum y miaka miwili ijayo.. fedha hazijapotea ziko pale zimehifadhiwa
 
Back
Top Bottom