Aman Ng'oma
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 954
- 510
kwa waliosikiliza marudio ya kipindi cha mwangaza kwa jamii kilichorushwa kuanzia saa 3.15 jana usiku watakubaliana na mimi kwamba hakunaga kama radio imaan.katiba ilidadavuliwa hasa na weledi mpaka raha.