Kuna viongozi wananufaika na hizi machine za ku bet ambazo zimesambaa kila mahali.
Kama sio hivyo basi tuambiwe faida ya hizi machine kwa taifa. Kila mahali kuna machine za wachina wanapita kukusanya pesa kila siku pesa badala ya kusaidia kamii inaenda kusaidia hawa wawekezaji fake na viongozi wala rushwa.
Mwaka jana nilikuta mlinzi wangu wa shamba ameweka rehani Pikipiki yangu ili apate pesa ya kubeti kule kidomole Bagamoyo.
Huko vijijini watu wanaishia kwenye kubeti badala ya kufanya kazi.
Kama sio hivyo basi tuambiwe faida ya hizi machine kwa taifa. Kila mahali kuna machine za wachina wanapita kukusanya pesa kila siku pesa badala ya kusaidia kamii inaenda kusaidia hawa wawekezaji fake na viongozi wala rushwa.
Mwaka jana nilikuta mlinzi wangu wa shamba ameweka rehani Pikipiki yangu ili apate pesa ya kubeti kule kidomole Bagamoyo.
Huko vijijini watu wanaishia kwenye kubeti badala ya kufanya kazi.