Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
MMJJ,
Usituchekeshe hapa. Ulikuwa na nafasi ya kumuuliza Bw. Wangwe hayo maswali na hukuyauliza, sasa unayaleta JF ili iweje wakati hayupo?
Nimesikiliza mahojiano yako yote na Lissu pamoja na ya Wangwe. Ukweli ni kuwa Wangwe ndiye aliyetoka mshindi kidedea tena kwa sana na Lissu ameonekana kama vile ametumwa kuendelea kumchomea Wangwe.
Kama unataka kufanya mahojiano ya haki, mlete Mbowe sasa tusikie na yeye anasemaje kuhusu hizo shutuma. Au kama ikiwezekana waweke wote kwa pamoja, Mbowe vs Wangwe ili baada ya hapo tuweze kujua nani ni mkweli.
Changia angalau dola 10 for half an hour of interview.. zinagharimu!