- Thread starter
- #101
Lowassa analipwa milioni 600 kodi ya pango atashindwa kuhonga watu wa kuiyumbisha serikali..mkakati wa lowasa tunaujuabasi jamaa ana pesa toka 2008 kipind cha richmond hadi leo 2016 bado yy ana honga tu mbona ktk ile list ya mabilionea simuoni na wala siisikii serikali yako ikilia kaiibia pesa na sasa anashtakiwa,,,, wezi wakubwa nyie mnatumia mgongo wa mtu kuficha maovu yenu kazi haijafika hata nusu mtu kalipwa 99% na bado kuna tatizo la vifaa kama unavyotaka kusafisha eti vifaa havijafika toka 2011 ni vifaa nyeti ,,,,, nyeti mafinga print? mnatumika vibaya sana hebu tetea taifa lako na ukawa wataamuangusha kweli magu kama atashirikiana na wezi mfano wako ww.