engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,150
- 1,437
Hayo ndiyo matatizo ya kinamama,wanahitaji msaada,wasaidiwe
Ebu nipeni elimu ya lema, kuna mizee jana nilikutana nayo yanasema hawawezi kuongozwa na form six? Vijana ongezeni nguvuuuuuuuuuuuuuuu
Alipokuwa akihutubia mkutano wa hadhara juzi maeneo ya makao mapya badala ya kuwaeleza wananchi namna atakavyotatua matatizo yao lukuki,mgombea huyu kwa tiketi ya ccm Arusha mjini alionyesha jinsi CCM ilyoishiwa sera na kuanza kuleta mambo ya mipasho na kuwaponda wanaume wa Arusha kuwa hawakumtokea alivyokuwa msichana ndio maana akaenda kuolewa zanzibar.
watu kama hawa hawatakiwi kabisa bungeni.
CHADEMA HOYEE....
Alipokuwa akihutubia mkutano wa hadhara juzi maeneo ya makao mapya badala ya kuwaeleza wananchi namna atakavyotatua matatizo yao lukuki,mgombea huyu kwa tiketi ya ccm Arusha mjini alionyesha jinsi CCM ilyoishiwa sera na kuanza kuleta mambo ya mipasho na kuwaponda wanaume wa Arusha kuwa hawakumtokea alivyokuwa msichana ndio maana akaenda kuolewa zanzibar.
watu kama hawa hawatakiwi kabisa bungeni.
CHADEMA HOYEE....
Je, tabia yake ilikuwa nzuri? Mara nyingi wasichana wenye tabia mbaya uolewa na wanaume kutoka mbali!