Makaimati
JF-Expert Member
- Apr 4, 2011
- 462
- 87
Wakuu,
Naomba kufahamishwa endapo kanisa katoliki, sabato/SDA wanapo milikishwa ardhi wanaiwakilisha Tanzania Bara?
maana nimeshindwa kuelewa jibu hili.
Kanisa linawakilisha Mungu na sio nchi kaka.
Unataka kutwambia kuwa lile pale Kivukoni linawakilisha Vatican?
Utawala wa Kanisa Katoliki lina Jimbo Zanzibar chini ya uongozi wa Bishop na paroko zake kama Kanisa hilo hilo lilivyo na majimbo yake huko unakokwita Tanzania Bara.
Hakuna Kanisa la "Tanzania Bara" Mkuu