Sunday Ngakama
Member
- May 5, 2012
- 68
- 33
Unaweza usione tatizo wewe, lakini walio wengi wanaliona ndio maana tumeona tujadili baada ya kuona linajirudia.
Mkuu inaelekea wewe bado unaishi karne ya 3 piece suit-watu wa fashion wameshatoka huko mangi! kati ya vitu nisivyothubutu kumkandia raisi wangu huyu ni suala la mavazi, he is way too far frm most of us!!!!
Tazama sense of fashion chini hapo, kwi kwi kwi teh teh teh!
Halafu inaelekea koti hilo jeupe analipenda sana maana huwa analivaa mara nyingi.
Tazama sense of fashion chini hapo, kwi kwi kwi teh teh teh!
Kiongozi,
Mavazi kwa watu wazito yana tafsiri yake na si sawa na sisi.....halafu hakuna suti iliyovaliwa karne ya 3....suti zimekuja karne ya 19
Hukunielewa bosi nimezungumzia karrne ya 3 piece suit! isipokuwa nakubaliana na wewe kwamba viongozi wa aina yake hawastahili aina fulani ya mavazi
Asante kaka......tatizo yeye anataka kuwa kama hawa:
Kama Rais wetu ana mbunifu wa mavazi anabeba lawama kwa vile mvao huo suruali nyeusi na koti nyeupe haviendani. Mara kadhaa nimeona mvao huo nikafikira labda ni kwa bahati mbaya, lakini sasa inaelekea hali imezoeleka.