Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,883
- 6,884
Kama Rais wetu ana mbunifu wa mavazi anabeba lawama kwa vile mvao huo suruali nyeusi na koti nyeupe haviendani. Mara kadhaa nimeona mvao huo nikafikira labda ni kwa bahati mbaya, lakini sasa inaelekea hali imezoeleka.