Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,944
- 18,654
Mama yangu anampenda mke wangu kuliko hata mimi.
Hahahaha...Eeh mara mia mkapange kuliko kukaa na bi.Mkubwa mwenye itikadi za kishamba! Kama unamjua mama yako mtu wa kuongea ongea na kupenda attention jua atamchukia mkeo tu hata iweje 😂😂😂
Hakuna pa mahali wote hawatupendi sisi wakwe zao.Watu wa mkoa wa Mara kwa magomvi. Hamuachagi
Nimeshafanya hivyooo vyote.Mi nadhan sisi wadada tunaoolewa ndo tuna matatizo kuweka negative perspective kwa wamama wa waume zetu/mawifi/mashemeji na hii nadhan inatokana na kukaririshwa na jamii inayotuzunguka kiasi unakuta mtu anajiandaa kabisa kutoa negative reaction kwa huo upande lengwa...tunawapa wakat mgumu sana waume zetu ku
Hilo ndo analolitaka huo wema wako kwake anauona hauna maana if kama humpi nafasi ya kukaa chemba na mwanae.. kwan unaumia nini siku baba jairo akiwa nyumban ukatafta kasafari ka uongo na kweli ka masaa hata kumi ukawaacha wawili tu nyumban wapige story zao....ukijenga hayo mazoea wala hupati tabu...Nimeshafanya hivyooo vyote.
Zawadi
Kumpa upendo kuwaletea wajukuuu.
Kumsaidi shughuli za nyumbani ila tatizo anawivu .
Anaona unamnyima haki ya kukaa na mtoto wake.
Hivi kwa nini huwa mnaoneana wivu?Ukweli....
Mama, wifi, mke hii triangle ni ya kuishi nayo kwa akili
Kwasababu kila mmoja ni mmiliki wa huyo mwanaume....hivi kwa nini huwa mnaoneana wivu?