Artifact Collector
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 6,539
- 10,007
Ukifungua nyuzi nyingi huku jamiiforums utashangaa sana kwenye section ya comment kila mtu ana-vimba mfano kama mtu amekuja kuomba msaada utastaajabu watu wanavyotoa majibu ya hovyo sana na yasiyojali utu.
Jamiiforums ni sehemu ya watu kutolea stress zao, ni kawaida sana jamiiforums mtu kuanza kukuvamia na maneno yasiyofaa na maneno ya kashfa.
Mimi kipindi fulani nilishafanya biashara hapa jamiiforums kupitia jukwaa la matangazo nilikutana na watu wengu pasipo kunijua ukweli ni kwamba watu wengi wanaishi maisha ya kawaida tofauti na wanavyo-comment huku jamiiforums, ni mbingu na ardhi ila kwa sababu ni wateja wako inabidi uwasitiri tu.
Ila kijana kuwa makini na watu wa huku wengi wao wana-fake maisha. Jamiiforums ni kama huku mitaani tunapoishi wenye kipato kikubwa ni wachache sana huku wengi wakiisha maisha ya kawaida.
Jamiiforums ni sehemu ya watu kutolea stress zao, ni kawaida sana jamiiforums mtu kuanza kukuvamia na maneno yasiyofaa na maneno ya kashfa.
Mimi kipindi fulani nilishafanya biashara hapa jamiiforums kupitia jukwaa la matangazo nilikutana na watu wengu pasipo kunijua ukweli ni kwamba watu wengi wanaishi maisha ya kawaida tofauti na wanavyo-comment huku jamiiforums, ni mbingu na ardhi ila kwa sababu ni wateja wako inabidi uwasitiri tu.
Ila kijana kuwa makini na watu wa huku wengi wao wana-fake maisha. Jamiiforums ni kama huku mitaani tunapoishi wenye kipato kikubwa ni wachache sana huku wengi wakiisha maisha ya kawaida.