mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 17,056
- 52,788
Ila matola bana😂Formula ya Bongo kujipata ni miaka 50 msidanganyike, kinyume cha hapo hayo ni majizi tu.
Vijana msikate tamaa, hakuna tajiri yoyote Africa ambaye ni self made millionaire ambaye yuko under 50, hakuna.
Ile wrangler umenunua ukiwa na miaka mingapi?