Easymutant
R I P
- Jun 3, 2010
- 2,564
- 1,129
walikosa kazi za kufanya,wanyama wana haki zao pia . sasa nini kosa la kusulubiwa hivyo,akili zao ni za kinyama .
Hao inafaa wachukuliwe hatua za kisheria, ushahidi kamili huo. Nadhani hii ilishawahi kuletwa siku za nyuma hapahapa JF. Zamani kulikuwa kuna TSPCA, wako kweli bado hawa jamaa, maana siku za nyuma niliona pale kwao kuna showroom ya magari.