Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 15,774
- 24,209
Japo ni Mimi ni mchambuzi mashuhuli hapa mjini JF.....lakini pia ni mtabiri maarufu wa mechi ...since sijawahi kosea
Utabiri wangu
Leo mchana nilikuwa nimejiegesha hapa kazini ghafla nimeota ndoto saa 21: 00 naskia makelele ya watu wanaimba hatumtaki mangungu.....
Hatumtaki mwamedi..... hatumtaki jaribu Tena ....ila nimeshidwa kujua ..... what really happened
Nb: Guess.....itakuwa Nini kimetokea ??
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Utabiri wangu
Leo mchana nilikuwa nimejiegesha hapa kazini ghafla nimeota ndoto saa 21: 00 naskia makelele ya watu wanaimba hatumtaki mangungu.....
Hatumtaki mwamedi..... hatumtaki jaribu Tena ....ila nimeshidwa kujua ..... what really happened
Nb: Guess.....itakuwa Nini kimetokea ??
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app