Njaa Mbaya
JF-Expert Member
- Jul 4, 2012
- 666
- 175
Sijui kama mleta mada anajua anachokileta hapa, kweli JF imevamiwa kama ndiyo great thinkers mimi naogopa
Na muda, mishale ya saa sita usiku!Lakini bado kuna kitu cha kujifunza hapa.
Kwenye hali ya mgomo unaohusishwa kundi la watu wengi, viongozi wasiwe warahisi kukubali vikao visivyo rasmi na watu wasio rasmi, japo haindoi kwa asilimia mia moja hatari ya kutekwa.
Yeah kwasababu chochote utakachosema kitatumika kama ushahidi, uzuri wa kipengele hiki ukae kimya ili mwanasheria wako ndo aongee na kama huwezi kumudu gharama za mwanasheria serikali ina jukumu la kukupatia mwanasheriaKichuguu,
..Je, raia wana haki ya kukataa[right to remain silent] kutoa maelezo kwa vyombo vya dola??
JF ni darasa kubwa sana, miaka minne iliyopita, kuna mwanachama mmoja alitupa somo hapa kama ifuatavyo
(1) Je kuna yeyte kati yetu amewahi kufikiria ku-exercise rights zake mbele ya polisi?
(2) Ilikuwaje Dr. Ulimboka alikubali kukamatwa na polisi bila kuzingatia haki zake hizo? hasa zile tatu za kwanza? Inawezekana hakuwa anazijua; tujitahidi tujifunze mambo mengine yaliyok nje ya taaluma zetu, hasa sheria.
(3) Inawezekana alikuwa anazijua lakini hakuwa na nafasi ya kuzi-exercise kwa vile askari walimfuata wakiwa wamemshikia bunduki, lakini je iwapo askari wakikushikia bunduki mbele ya watu ukanyamaza unategemea mtakapokuwa peke yenu watakuwa na huruma kwako? Kwa marekani kuna kitu kinaitwa miranda rights, ambazo kwa Tanzania usipojibu swali la polisi utapata kipigo kikali sana hasa iwapo utakuwa peke yako pamoja na askari hao. Salama yako mbele ya askari wa Tanzania ni kuhakikisha kuwa una shaidi mwingine independent.
JF ni darasa kubwa sana, miaka minne iliyopita, kuna mwanachama mmoja alitupa somo hapa kama ifuatavyo
(1) Je kuna yeyte kati yetu amewahi kufikiria ku-exercise rights zake mbele ya polisi?
(2) Ilikuwaje Dr. Ulimboka alikubali kukamatwa na polisi bila kuzingatia haki zake hizo? hasa zile tatu za kwanza? Inawezekana hakuwa anazijua; tujitahidi tujifunze mambo mengine yaliyok nje ya taaluma zetu, hasa sheria.
(3) Inawezekana alikuwa anazijua lakini hakuwa na nafasi ya kuzi-exercise kwa vile askari walimfuata wakiwa wamemshikia bunduki, lakini je iwapo askari wakikushikia bunduki mbele ya watu ukanyamaza unategemea mtakapokuwa peke yenu watakuwa na huruma kwako? Kwa marekani kuna kitu kinaitwa miranda rights, ambazo kwa Tanzania usipojibu swali la polisi utapata kipigo kikali sana hasa iwapo utakuwa peke yako pamoja na askari hao. Salama yako mbele ya askari wa Tanzania ni kuhakikisha kuwa una shaidi mwingine independent.
JF ni darasa kubwa sana, miaka minne iliyopita, kuna mwanachama mmoja alitupa somo hapa kama ifuatavyo
(1) Je kuna yeyte kati yetu amewahi kufikiria ku-exercise rights zake mbele ya polisi?
(2) Ilikuwaje Dr. Ulimboka alikubali kukamatwa na polisi bila kuzingatia haki zake hizo? hasa zile tatu za kwanza? Inawezekana hakuwa anazijua; tujitahidi tujifunze mambo mengine yaliyok nje ya taaluma zetu, hasa sheria.
(3) Inawezekana alikuwa anazijua lakini hakuwa na nafasi ya kuzi-exercise kwa vile askari walimfuata wakiwa wamemshikia bunduki, lakini je iwapo askari wakikushikia bunduki mbele ya watu ukanyamaza unategemea mtakapokuwa peke yenu watakuwa na huruma kwako? Kwa marekani kuna kitu kinaitwa miranda rights, ambazo kwa Tanzania usipojibu swali la polisi utapata kipigo kikali sana hasa iwapo utakuwa peke yako pamoja na askari hao. Salama yako mbele ya askari wa Tanzania ni kuhakikisha kuwa una shaidi mwingine independent.
Kichuguu,
..Je, raia wana haki ya kukataa[right to remain silent] kutoa maelezo kwa vyombo vya dola??
Kama umeangalia zile clip zake za youtube walimvamia na kumbeba kinguvu maana alipigwa mtama na kudondoka alivyoanza kuwahoji tena walikua watu watano waliokua na silaha so its not easy to implement democracy in that situation.Bongo hakuna sheria za raia labda uwe ulaya tu ndo unaweza pata hizo haki
Awaambie kwamba "asiburuzwe kuandika tu," kwa hiyo akibembelezwa kuandika akubali?
- Raia ana haki ya kuwaeleza polisi ama Maafisa wa Kuzuia Rushwa kwamba lolote atakalosema linaweza kutumiwa kama ushahidi mahakamani, na asiburuzwe kuandika tu.
Mimi nafikiri wale aliokuwa nao walikuwa wanaijua issue yenyewe. Hata huyo rafiki yake alihusishwa kwenye dill. Itakuwaje uko na mtu akamatwe halafu usifuatilie anapelekwa wapi wala usihangaike kumwekea dhamana?
Kichuguu,
..Je, raia wana haki ya kukataa[right to remain silent] kutoa maelezo kwa vyombo vya dola??