Sio mpaka akwambie bhana, wakati mwingine waweza kuzisoma hisia zake we mwenyewe, mwendo wenu, response yake pind mfanyapo lile teno. Km huwezi hata kuelezea hisia za mwenzako ni dhahili humlidhishi. Jirekebishe bwana!
Mbona fikirini unaniridhisha sana tu mpenzi wangu? yaani mpaka uje kuuliza watu humu? ina maana huoni kile kilio na vimachozi vinavyonitoka kweli, ina maana huoni navyolegea kweli, huoni navyokuchekea na kukufanyia kila unaloniambi, darling wangu tafadhali funga thread tukajadili home
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.