hahahahahhaahahahha walimwengu banah?

Perry

JF-Expert Member
Feb 24, 2011
10,043
2,000
Jamaa alipanda taxi akamwambia dereva, zima mziki dini hairuhusu kusikliza nyimbo za kidunia kwasabab wakati wa yesu hakukuwa na redio, dereva akazima halafu akasimamisha gari na kufungua mlango wa abiria. Jamaa akamuuliza Nini tena? Dereva akajibu wakati wa yesu hakukuwa na taxi shuka usubiri punda!
:biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin:
 
teh teh teh teh teh teh teh............................................:biggrin:
 
Jamaa alipanda taxi akamwambia dereva, zima mziki dini hairuhusu kusikliza nyimbo za kidunia kwasabab wakati wa yesu hakukuwa na redio, dereva akazima halafu akasimamisha gari na kufungua mlango wa abiria. Jamaa akamuuliza Nini tena? Dereva akajibu wakati wa yesu hakukuwa na taxi shuka usubiri punda!
:biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin:

Mh! Mh! Hii kubwa kuliko...!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom