Perry
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 10,043
- 2,000
Jamaa alipanda taxi akamwambia dereva, zima mziki dini hairuhusu kusikliza nyimbo za kidunia kwasabab wakati wa yesu hakukuwa na redio, dereva akazima halafu akasimamisha gari na kufungua mlango wa abiria. Jamaa akamuuliza Nini tena? Dereva akajibu wakati wa yesu hakukuwa na taxi shuka usubiri punda!
:biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin:
:biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin: