kwasababu anaongea ukweli ambao masikio yako hayataki kusikia.Chadema is one of the Coward party ever in this earth
Just like you cowardly snob and you think you are a GT
kwasababu anaongea ukweli ambao masikio yako hayataki kusikia.Chadema is one of the Coward party ever in this earth
Sasa mbowe bilioni 10 za lowassa , mgawanyo ulikuwaje?
Naangalia star tv hapa,,jamaa badala ya kutoa hoja ila cha ajabu amejikita kuiponda chadema,,kweli hawa watu wana hasira na chadema sana,,kasema ukiindoa ccm kwa ubovu chadema inafuata,,huyu jamaa kila anachoongea kwa kweli simuelewi kabsa,,yani kila anachoongea ni chadema tu
kwasababu anaongea ukweli
Sasa mbowe bilioni 10 za lowassa , mgawanyo ulikuwaje?
kwasababu anaongea ukweli ambao masikio yako hayataki kusikia.Chadema is one of the Coward party ever in this earth
kibaya zaidi hata watangazaji ni weupe sana,hawana maswali ya kufikirisha na hawana uwezo wa kumoderet mjadala,watu wanazungumzia watu kwny kipind badala ya issues
ona upotoshaji wa kipuuzi kama huu,eti zito alifukuzwa kwa kuhoji chama kukaguliwa,my foot!
Umenichekesha honoget na kunikumbusha maneno ya kamanda Lembeni jana-Kahama.Upepo utafunua nyeti za kuku.Chadema inatamaraki kila sehemu
kuingia juzi kuna kuhus nini,weka mashtaka ya zito yaliyotolewa na chadema,hayo ya wahuni kama nyinyi nenden mpafanyie puliUpotoshwaji upi mkuu Hilo swala limeshaajadiliwa sana huko na ndio ukweli wenyewe au Wew ndio umeingia kwenye siasa juzi
Tulia octoba si mbali. Moto wa chini utatokeza juu baada ya kupata oksigen ya kutosha.Kwakuwa hampendi ukweli utakosa kumuelewa, ila ukwelinikuwa Mbowe ni tatizo