Habari za kusikitisha!!!!

we w badshah acha kuzingua mara simba anvyokula watu mara habari ya kusikitisha kwa taarifa yako kule facebukua we ni frend angu, usipoacha kuzengua nakuanika jina lako na pich yako...sema suuuu
 
Last edited by a moderator:
Da kuna mtu ameingia kwa daladala. Halafu ndo nimefungua hiii thread akajua namcheka yeye maskini angejua ni viroja vya jf
 
we w badshah acha kuzingua mara simba anvyokula watu mara habari ya kusikitisha kwa taarifa yako kule facebukua we ni frend angu, usipoacha kuzengua nakuanika jina lako na pich yako...sema suuuu

e bwana eeeeeee kama zali haya niambie nani mwenzangu
 
Back
Top Bottom