Mtalingolo
JF-Expert Member
- Aug 4, 2011
- 2,181
- 409
Jana nilikula msosi laini then ikawa balaa maana njaa imenianza night kali...
Msosi laini upi? Au Konokono? Wachina wanapenda sana hyo kitu.
Jana nilikula msosi laini then ikawa balaa maana njaa imenianza night kali...
mie mzima nilikumis sana usisahau na supu maana jana alipiga sana vyombo
NITTY,
nimeamka poa...safarini asee...naenda SHY!
thanks for salam msalim shemeji na wanao...
Msosi laini upi? Au Konokono? Wachina wanapenda sana hyo kitu.
Ujue simu yangu inauwezo wa kuwatrace wanajf popote walipo kwa najua ulikuwepo pale
Usiende nae tena maeneo yale wanga wengi
Hajambo ila yeye hajaamka maana anajiskia kauchovu uchovu.
Vipi baba naniii naye hajambo?
Safari njema mkuu, angalia kulakula njiani sio ishu.
Unataka kumuua babu wa watu usiku kucha hujatosheka! ....Lol
Halafu jana SL kachelewa kurudi nyumbani kichwa kinaniuma sana sijui nimfanye nini
Nimeshamsamehe lakini roho inauma
Namwamini sana mke wangu SL ila vibaka wengi