Unamaanisha nini juu ya uhalali wa umeya? Meya tunaye...period.
Halafu unashangaa hizo picha wakati cdm ndio waliosababisha yote haya?
Inaonekana mnaruka bila ya kujua mtaangukia wapi.
Ivi FFU hawataki cement iuzwe sh 5000?=???
Wewe ni shetani,nenda kuzimu!!!Kusema ukweli bila siasa na ushahidi ninao huyu dada hakupigwa hapo kajaza mi tomato sause ionekane kama damu. Nimefanya ukaguzi hana kovu lolote. anayebisha atuabie alitibiwa wapi na alishonwa nyuzi ngapi?
Wote wamevaa maguo ya militant ,hawa wamekosa uraisi imekuwa nongwa,yaani sasa wamehamisha vita kwenye umeya ,hivi ni wanasiasa hawa au ni wababaishaji ?
Wote wamevaa maguo ya militant ,hawa wamekosa uraisi imekuwa nongwa,yaani sasa wamehamisha vita kwenye umeya ,hivi ni wanasiasa hawa au ni wababaishaji ?