Aahaa sawa. Kumbe ndo maana namtumia text hazifikinimeambiwa admin ameibiwa sim hivyo nitaweka updates zote hapa only kp urself updated
Aahaa sawa. Kumbe ndo maana namtumia text hazifikinimeambiwa admin ameibiwa sim hivyo nitaweka updates zote hapa only kp urself updated
Wazo zuri sana vijana, together we can. Nimechelewa kuiona post[/
updates!
jamaa wanakutana universty of dar[udsm] jumamos 3/12/2016saa 4ahsbh kutekeleza mpango.
let's get together pale udsm wadau watakutania pale contena@10;00 am.mimi pia jaman 0713 123 160
poa nitamtupia namba yako m/kit atakuchek soonushaur wangu chukua namba za kila anaye itaj the tutaarifiane uko sio apa maana wengne kuingia mtandaon ni kw a nadra sana
poapoa nitamtupia namba yako m/kit atakuchek soon
Baada ya changamoto nyingi za maisha na mtizamo wa serikali yetu bila shaka nimegundua usipokuwa 'creative' tutaishia kupoteza time internet.
Naamini tupo graduate wengi sana jobless hapa bongo ila tukikutana na kupanga mipango iliyopangika naamini tutatoka Na serikali itaweza kufanya collective help kwa fursa tutakazo kuwa tumetengeneza.
kila mtu kwa nafasi yake popote pale alipo mfano tuliopo hapa Dar or dodoma or else where tunaweza kutafuta mahali tukawa tunakutana na kutengeneza fursa ambazo nahakika it might push our lives to the next level.
Nimeanza mada kidogo naamini mwenye mawazo mbadala yanayoweza kujenga!
I kindly open a room for intellectual discussion.
looking forward to have nice discusn.
Mungu awabariki.
brother!upo 100%.i wl find u for goodWazo zuri sana Sifuri.. Yaani hili nakuunga mkono 10000% na ni lazima kutoka kama kwenli watu wataweka bidii na kuacha mchezo kwenye hili..
Tatizo la graduate wengi wamekuwa na ubinafsi wa kutaka kila mmoja awe vizuri awaringie wenzie.. hatufiki namna hiyo.. unganisha nguvu mfanye mambo makubwa.. kichwa kimoja si sawa na viwili... vya wasomi..
Mnakutana lini wadau? Namba yangu 0719497524 naomba na mimi uniunge kwenye grouplet's get together pale udsm wadau watakutania pale contena@10;00 am.
jumamosi keshoMnakutana lini wadau? Namba yangu 0719497524 naomba na mimi uniunge kwenye group
Kwahiyo mlioitimu tu?tuliokimbia umande wakati nyie mnakalilishwa sio tulikuwa tunafanya mambo kwa nadhalia amtutakiWhat's up group lipo tayari wenye nia ya kufanya kitu kwa pamoja, nichekini what's 0762781778 haijalishi umehitimu lini,
Kosa ulioni utakosa mengiKosa liko wapi hapo?
Wamefeli vibaya wamuulize baresa kaishia darasa la ngapi wamefundishwa kukalilishwa hao biashara ni zaidi ya usomi mwemyezimungu anamaana yakewasomi bwana!! kama thread ilivyo ya kibaguzi mnajichagua wenyew tu graduates kuanzisha izo kampuni kana kwamba MTU wa std 7 na form four awezi kufika mafanikio hayo bila kugraduate. hapo mmefeli!