Baada ya changamoto nyingi za maisha na mtizamo wa serikali yetu bila shaka nimegundua usipokuwa 'creative' tutaishia kupoteza time internet.
Naamini tupo graduate wengi sana jobless hapa bongo ila tukikutana na kupanga mipango iliyopangika naamini tutatoka Na serikali itaweza kufanya collective help kwa fursa tutakazo kuwa tumetengeneza.
kila mtu kwa nafasi yake popote pale alipo mfano tuliopo hapa Dar or dodoma or else where tunaweza kutafuta mahali tukawa tunakutana na kutengeneza fursa ambazo nahakika it might push our lives to the next level.
Nimeanza mada kidogo naamini mwenye mawazo mbadala yanayoweza kujenga!
I kindly open a room for intellectual discussion.
looking forward to have nice discusn.
Mungu awabariki.
Naamini tupo graduate wengi sana jobless hapa bongo ila tukikutana na kupanga mipango iliyopangika naamini tutatoka Na serikali itaweza kufanya collective help kwa fursa tutakazo kuwa tumetengeneza.
kila mtu kwa nafasi yake popote pale alipo mfano tuliopo hapa Dar or dodoma or else where tunaweza kutafuta mahali tukawa tunakutana na kutengeneza fursa ambazo nahakika it might push our lives to the next level.
Nimeanza mada kidogo naamini mwenye mawazo mbadala yanayoweza kujenga!
I kindly open a room for intellectual discussion.
looking forward to have nice discusn.
Mungu awabariki.