General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,301
- 23,025
Mkuu hii JF ogopa kama ukoma!!we si ndo unasemaga upo kwa CAG?
470,000tsh x12month=5,640,000 kwa mwaka
5,640,000x3 yrs= Tsh16,920,000
sasa hiv una gar 2=20,000,000
Nyumba mbili (MODERN) assume @Tsh 50,000,000=100,000,000 tsh
viwanja 3@ 4000,000 =12,000,000 tshs
madogo 3 shule @ 1,500,000=4,500,00/yrx3=13,500,000
Total Matumizi 145,500,000 wakati kipato halali ni 16,920,000 tu
NB..hii haihusu
1.michepuko
2.chakula nyumban
3.chakula kazin
4.mafuta kwenye gar
5.service za kar
6.road lecensi ya magay 2
7.bill za umeme na maji
8.mavazi
9.michango kanisan/msikitin kama ni muumun
10. pombe
11. kusaidia ndugu na wazazi
12.nk
aisee hebu tuambie manake mhhhhhhhh
hii "inji" ina watu wake.