Jaguar
JF-Expert Member
- Mar 6, 2011
- 3,438
- 1,026
'Someni magazeti kama vile mnavyosoma barua mnazotumiwa'.Hii ni kauli iliyotolewa na spika wa bunge Anna makinda katika kikao na wawakilishi kutoka vyombo mbali mbali vya habari.Hii kauli imewakera wengi wa waandishi wa habari hali iliyopelekea kumtaka aombe radhi.Huyu mama kwa jeuri amekataa kuomba msamaha akiamini yuko sahihi.