Kaunga
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 12,530
- 13,469
Taarifa za Africa mashariki (itv), zilikuwa na habari isemayo Uganda imepandisha bei ya kuwaona Sokwe hadi kufikia $750 kwa watalii wa nje. Kuangalia picha naona ni gorilla na sio sokwe (chimpanzee)
Je gorilla nao ni sokwe au hatuna jina la kiswahili kwakuwa hatunao nchini?
Je gorilla nao ni sokwe au hatuna jina la kiswahili kwakuwa hatunao nchini?