nipeukweli
JF-Expert Member
- Jul 16, 2012
- 656
- 348
japo umenipiga mzinga mchana ila sitachoka kuugulia maumivu....GOOD NIGHT SWEET
....ha ha haaa mi signature yako tu mkubwa
japo umenipiga mzinga mchana ila sitachoka kuugulia maumivu....GOOD NIGHT SWEET
Na usipocheka utakuwa na matatizo.hahah ukpata i lazma ucheke hata kama unahasira
Ulale unonoHow romantic are you in composing a goodnight love message for your loved one? Twende kazi. Usikopi mahali. Tuwe wabunifu.
Nice words for beautiful ladies, duh! nimezikubali hizi......ila kwa sisi wengine tusiokuwa na pakuzituma hizi, ni full maumivu na mateso bila chuki tu hapa.
when you are in love, some words just flow naturally.
yaani imenilegeza haswa. Nikajikuta tu narespond na kiss mwaaaah
Haha ha haaa Karucee, usileegezwe bhana.
Kiss received mradi iwe 'JUST A KISS' lol!
mie huwa naogopa
kudanganya/kudanyanywa na vijineno vitamuvitamu, hupendelea zaidi
kuyageuza maneno kwa vitendo pale inapowezekana, otherwise kama nia ni
kumtakia mtu usiku mwema basi be simple, mwambie tu ulale salama, usiku
mwema, a.k.a good night na mambo kama hayo. hayo mashairi kabla ya
kulala tene mmh ni hekaya za abunuwasi, wengine huwa wanatuma hivyo
vimeseji wakisaidiea maneno na mahawara zao wa usiku wao wamelala
wamekumbatiana wanakutumia wewe vimashairi vya kukulaza usingizi ili wao
waanze kazi ya kungonoana... loh binadamu hatuaminiki ni wanafiki
kuliko lusifer
najua unatafuata namna tofauti ya kudanganya orodha ndefu ya wadada ulionao, sabu ungekuwa na mmoja usingehangaika kuuliza aina tofauti ya sms, ungetuuliza mikakati ya kufanikiwa kimaisha na kama hujaoa namna ya kummke mwema maishani.
huwa hasafiri?mie nimezoea kutoa goodnight kwa vitendo!!
ivi mkitaka kulala ndo mnakua wazungu,ebu tupieni za kiswahili
"ulale mnono,njoz njema"
purely Tanzanian na imethibitishwa na TUKI,BAKITA na TBS