Gongo ipi Nzuri!

Umewahi kuionja ya kwetu Mtwara? Inatengenezwa kwa mabibo yaliyokaushwa. Ukiipata pure ina super spirit kiasi kwamba kwenye shoda ya mafuta ya taa tunaitumia kwenye vibatari

Hahahaahah itabidi niende mikoa ya Kusini nitest gongo lao. Mmmhhh hii bils shaka inawaka moto
 
Mchungaji umenikumbusha kitu.Kule Kagera na kwingine kote gongo ni pome haramu na ;polisi wanawasaka wauzaji na watumiaji lakini waganda wanainunua kwa jumla kutoka kagera na kuipeleka uganda kwa siri na kuipaki kwenye vifuko fulani na kuirejesha kagera kama pombe halali .inaitwa walagi,empire nk.Hii ikoje mchungaji

Waganda wako juu sana kibiashara! Hata malaya wa Kiganda Dar wako vere expensive sababu wanaongea kidhungu
 
Kule Bugarika hata Polisi huwa hawatii timu!




Ah ...,Wapi mchungaji hebu mtizame huyu?
BEI%2BYA%2BBIA.jpg
 
Umewahi kuionja ya kwetu Mtwara? Inatengenezwa kwa mabibo yaliyokaushwa. Ukiipata pure ina super spirit kiasi kwamba kwenye shoda ya mafuta ya taa tunaitumia kwenye vibatari

hiyo ya mtwara inaitwa ulaka bwana.
ndio pombe yao kuu,wakitafunia na ming'oko utawataka
 
hiyo ya mtwara inaitwa ulaka bwana.
ndio pombe yao kuu,wakitafunia na ming'oko utawataka
Ni URAKA na si ULAKA.
Uraka unatengenezwa kutokana na mabibo mabicho ambayo yanaanguka kutoka kwenye mkorosho na yanakamuliwa kupata ile juice ambayo after fermentation ndio inakuwa pombe.
Lakini hayo mabibo yakiachwa bila kukamuliwa, yakiwekwa juani na kukauka, unapata kitu inaitwa (kwa lugha za huko kwetu) kochoko. Hii ndo inatengenezwa first class gongo ambayo mchungaji inaweza kumfanya arudi kinyumenyume akiijaribu kwa pupa
 
Jamani gongo ipi nzuri! Kigoma, Mwanza na Shinyanga wanatengeneza za mihogo! Kagera wao wanatengeneza za Ndizi. Wale wa mkoa wa Mara wanatengeneza gongo la mapapai na mavi! Morogoro wao wanapika gongo la miwa AMA sukari guru ! Pwani wao gongo Lao la mananasi. Nimejaribu zote ila gongo la Mwanza nililipenda sana kule kwenye vilima vya Bugando!

Kwani umefikiria nini Rev?

Ila kiboko ni gongo ya mwanza ambayo inasaidia sana watu kutotapisha vyoo. Ilikuwa msaada mkubwa sana kwa Ziwa Victoria kwani uchafu ulipungua kwa kiasi kikubwa. ingawa sina hakika kama bado inatengenezwa kwa mtindo huo. Hili likifanyika Dar litapunguza utapishaji wa mashimo wakati wa masika!

Hata hivyo Waganda wametuzizi ujanja kwa kupunguza kemikali za sumu kwenye gongo na kutuuzia walaji kwa bei kubwa. Sisi tunaendekeza bongo lala!
 
Ni URAKA na si ULAKA.
Uraka unatengenezwa kutokana na mabibo mabicho ambayo yanaanguka kutoka kwenye mkorosho na yanakamuliwa kupata ile juice ambayo after fermentation ndio inakuwa pombe.
Lakini hayo mabibo yakiachwa bila kukamuliwa, yakiwekwa juani na kukauka, unapata kitu inaitwa (kwa lugha za huko kwetu) kochoko. Hii ndo inatengenezwa first class gongo ambayo mchungaji inaweza kumfanya arudi kinyumenyume akiijaribu kwa pupa

si hatari hiyo,
gongo ni mbaya sana jamani,yaani unakuta mtu kavimba tumbo na miguu na mashavu hapo figo zishafail.
kweli ibilisi anajua kuwatesa watu wa Mungu,halafu sasa wakinywa wanakunja sura halafu ikipita kooni unasikia jinsi anavyogugumia kwa maumivu.
Hivi mtu anakunywa ili alewe au aenjoy coz sielewei kinachosababisha mtu ateseke hivi.
 
si hatari hiyo,
gongo ni mbaya sana jamani,yaani unakuta mtu kavimba tumbo na miguu na mashavu hapo figo zishafail.
kweli ibilisi anajua kuwatesa watu wa Mungu,halafu sasa wakinywa wanakunja sura halafu ikipita kooni unasikia jinsi anavyogugumia kwa maumivu.
Hivi mtu anakunywa ili alewe au aenjoy coz sielewei kinachosababisha mtu ateseke hivi.

Hiyo ndio raha ya gongo, shurti ukunje sura
 
Mchungaji, ushakunywa gongo la mavi? Usiombee, nenda Olmotonyi kwa mama Seberee, utaanzisha sredi nyingine hapa nakuapia.
 
Mchungaji, ushakunywa gongo la mavi? Usiombee, nenda Olmotonyi kwa mama Seberee, utaanzisha sredi nyingine hapa nakuapia.

Teh teh hebu niPM nijaribu Kufanya exportation huku Zenj!
 
si hatari hiyo,
gongo ni mbaya sana jamani,yaani unakuta mtu kavimba tumbo na miguu na mashavu hapo figo zishafail.
kweli ibilisi anajua kuwatesa watu wa Mungu,halafu sasa wakinywa wanakunja sura halafu ikipita kooni unasikia jinsi anavyogugumia kwa maumivu.
Hivi mtu anakunywa ili alewe au
coz sielewei kinachosababisha mtu ateseke hivi.

Wewe Cheusi hujui utamu wa Gongo!
 
Ile ya kigoma ni babkubwa Rev. yaani kama ukipata ile namba 1 ambayo ni kama spirit ni balaa. unalewa ndani ya sekunde. halafu haina maadhara kama ile ya mavi ambayo mwisho wake ni kifo kama ukiiendekeza..
ya mapapai na mavi!!
 
Mimi nlidhani ni kule kijijini tu watu wanapenda coz hawana pesa ya kununua bia!Kama vipi fanyeni mpango ihalalishwe maana inaonekana inapendwa sana!!
 
Mimi nlidhani ni kule kijijini tu watu wanapenda coz hawana pesa ya kununua bia!Kama vipi fanyeni mpango ihalalishwe maana inaonekana inapendwa sana!!

Kuna baadhi ya vitu vikihalalishwa ladha yake itapungua. Waliache to gongo kama lilivyo....
 
Mimi nlidhani ni kule kijijini tu watu wanapenda coz hawana pesa ya kununua bia!Kama vipi fanyeni mpango ihalalishwe maana inaonekana inapendwa sana!!

Gongo ni Pombe Haramu Vitabuni tu Lakini hata Vigogo wanagida sana Chang'aa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom