Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,493
- Thread starter
- #61
Umewahi kuionja ya kwetu Mtwara? Inatengenezwa kwa mabibo yaliyokaushwa. Ukiipata pure ina super spirit kiasi kwamba kwenye shoda ya mafuta ya taa tunaitumia kwenye vibatari
Hahahaahah itabidi niende mikoa ya Kusini nitest gongo lao. Mmmhhh hii bils shaka inawaka moto