johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,803
- 143,272
Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini mh Godbless Lema anesema ukimsikiliza kwa makini Sana mzee Kinana utagundua Ujumbe wake haukuwalenga Wananchi na kwamba kimsingi Hakubaliani na Mkataba wa Bandari
Lema anasema kupitia twitter kwamba mzee Kinana ameongea kwa Utulivu na Maarifa makubwa
Jumaa kareem 😀
Lema anasema kupitia twitter kwamba mzee Kinana ameongea kwa Utulivu na Maarifa makubwa
Jumaa kareem 😀