MNYOO JOGOO
Senior Member
- Apr 2, 2012
- 195
- 94
Tutafika japo kwa mateso
There are currently 248 users browsing this thread. (50 members and 198 guests)
Tutafika japo kwa mateso
Vipi Lwakatare anaendeleaje kule third class?
Kama Tanzania ingekuwa kama Arusha basi ,Nchi ingekuwa mbali
Asante sana mpiganaji wewe kweli ni jembe hapo Arusha na umeonyesha upendo kwa wapiga kura wako,
Ila bana hujaweka hata mstari mmoja wa kutushukuru na sie tuliokuwa tunapiga debe tukitokea huku Nyakahanga, Geita, Buseresere, Manyovu, Godegode, etc?
Mwisho nakuomba 2015 kaweke kambi kwa kajitu fulani kamo Bungeni ni kafupi hivi kanakuwaga na maneno ya nyodo sana kakikaa pale mbele ya Bunge na nafikiri kanatokea Mpwapwa hivi
hapa tunazungumzia a town mkuu co mtwara
#LEMA
Na Mimi nasema Tanzania Msiogope kwani giza nene linapozidi ndipo asubuhi ukaribia , mateso , dhihaka , dharau , kejeli na vipigo na mauaji ni mambo yanayoumiza mioyo yetu na yenu sana tunatembea na uchungu katika mioyo yetu lakini vumilieni bado kitambo kidogo sana Mungu ataanza mwenyewe kulipa kisasi , vumilieni tena vumilieni hakuna dola inayotesa watu wake iatakayosimama mahali popote Duniani Only time will tell wengine wanasema tuvumilie kuonewa mpaka lini ? na majibu yangu ni haya Mpaka Mungu atakapotoa maelekezo Mengine , Tutajuaje ? Msiogope , mtajua wakati ukifika lakini vumilieni tena mabadiliko yako karibu sana kwani Serikali inayotawala sasa ina laana na vilio na damu za watu wengi katika viganja vyake kwa hiyo hawatafika mbali sana , mtaaona na mtakuja kusema niliwaambia .
Maneno mazito na ya
busara.Pia Spirit ya Neema Lema ni ya kuigwa na wenzi wa wanasiasa
wapenda mabadiliko.