amshapopo
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 733
- 1,271
Ni ujinga kwa MTU mwenye akili timamu kushabikia upuuzi wa LEMA huku ukifananisha kufungwa kwake kuwa sawa na MANDELA. Tusidanganyane kwenye ukweli tuseme ukweli. kufanya siasa sio lazima uwe maarufu kama umaarufu alikua anautafuta lema. Mbona SUGU ni mpinzani lakini anaongea hoja bila vioja na anakubalika sana watu wa mbeya. Tusilewe na siasa tumwambie ukweli. Kuwa mpinzan sio lazima kuwa na vihoja.