Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,566
Na je mmeshapeleleza kama hao walalmikaji wana mali zisizohamishika ili kesi ikiisha tukamate mali zao kufidia gharama za kuendesha kesi alizoingia Lema? nadhani hii ndiyo njia sahihi ya kuwakomesha machakubimbi.
Wengine siwajui, lakini Musa Mkanga ni rahisi, tunampa notisi ahame ile nyumba yake tunainadi akishindwa kulipa gharama za kesi, ukizingatia Lema ni Mwakilishi wa wananchi, badala ya kuwatumikia wananchi Mkhanga alimsababishia kuja mahakamani bila sababu za msingi.