Godbless Lema...Dakika za mwisho za Ubunge.

Kwa aina ya gwaride walilochezeshwa ccm huko arumeru hawawezi kuthubutu kutia maguu arusha mjini.

Nachodhani kama walikuwa na mpango wa kutengua ushindi wa Lema ni kwa matarajio kwamba wangeshinda arumeru.

Lakini kutokana na kushindwa kuhimili vishindo vya arumeru hawawezi kuthubutu kutamani kwenda arusha mjini, kwakuwa kufanya hivyo watadhalilika sana na hiyo itaijenga sana chadema.
 
Mkuu tetesi hizo ndizo zilizoshika kasi katika jiji la Arusha kwa mujibu wa vyanzo vilivyopo huko. Nilijaribu kuomba ushauri kama G. Lema atavuliwa ubunge kama anaruhusiwa kugombea tena na kujibiwa kuwa ANARUHUSIWA kwa sababu kosa lake siyo CORRUPT PRACTICE ambayo inamuengua mtu kugombea tena endapo akinaswa na hatia.

Kuhusu kushinda hilo halina shida atashinda kwa kishindo hata akija kugombea Mukama!!!!!! Na CCM watajutia maamuzi yao kama yatakuwa waliyapika!!!!!
Mkuu, acheni kufanyia kazi propaganda za CCM!!

They will never dare kurudia uchaguzi Arusha!!
unless serikali imeamua kwamba inataka kupoteza muda wa wananchi wa majimbo ya CHADEMA!!

Kurudia uchaguzi Arusha ni sawa na kumuweka Mkwerre na Dr. Slaa kwenye debate ya mustakabali wa tanzania kama Taifa!!

:nono::nono:
 
CCM wasuhangaike..........hii safari imeanzia Musoma.........tunaelekea Magogoni

Musoma, tunaitaka Serengeti,
Tayari Karatu tunayo, Mbule tunayo, Arusha tunayo,
Arumeru tunayo, hapo kati Hai kwa Mbowe tumechukua, Moshi mjini yetu, sasa tunaitaka Vunjo, Mwanga, Same, korogwe, Chalinze, Kibaha............then tunaunga na Ubungo tayari yetu, then tunachukua Kinondoni............Safari moko hiyo kuelekea magogoni 2015!!!
 
Nilwahi kusema hapa njia nzuri kabisa ya chadema kujitangaza na kujijenga ni chaguzi'mfano mzuri arumeru na igunga'hakuna mtu asiyejua kuhusu chadema'tuombe mungu chaguzi ndogo zijitokeze kwa wingi hasa mikoa ya kusini

Naomba sara zako zisifike kwa Mungu! Maana Chaguzi ndogo mara nyingi zinatokea kutokana na kifo cha Mbunge/Diwani--Kwa unaimanisha tuombe Mungu wabunge/madiwani wa Kusini wafe sana?Sisi tunaotokea huko hatukubaliani na maombi hayo...na tunaomba Mungu awaongezee nguvu ili watekeleze ahadi zao za kuiwaletea maendeleo watu wa kusini.
 
mbwiga

hilo haliwezi tokea,mahakama haiwezi kutengua ubunge huo kwani ni kuipa gharama serikali na vyma pia,na kwa ccm hawatakubaliana na hilo wanaelewa kuwa ni upotezaji wa pesa na mda wakijua kuwa kamwe hawataweza shinda jimbo hilo.
 
Wakubwa,
Baada ya kusoma habari hii nimejaribu kumpigia mtu fulani maarufu kwa masuala ya siasa na sheria, anasema hali ni ngumu kidogo kwa Lema...
Yeye anadai kuwa kwanza Lema alidanganya kuhusiana na Elimu yake, na mahakamani hilo lilidhihirika wazi!...Na alipobanwa juu ya hilo akasema kuwa alishaandika barua kwa katibu wa Bunge ili warekebishe kipengele hicho cha elimu kwenye taarifa zake za kibunge, ziendane na ukweli,..hivyo hapo pana substance kubwa ya kumuumiza!
 
mbwiga

hilo haliwezi tokea,mahakama haiwezi kutengua ubunge huo kwani ni kuipa gharama serikali na vyma pia,na kwa ccm hawatakubaliana na hilo wanaelewa kuwa ni upotezaji wa pesa na mda wakijua kuwa kamwe hawataweza shinda jimbo hilo.
Mkuu,
Maelezo yako si ya kitaalamu!
Mahakama kazi yake ni kutafsiri na kuhakikisha kuwa sheria zinafuatwa na raia wote, na si vinginevyo!
Kama serikali haina hela za kurudia uchaguzi, hii ni ishu ingine kabisa...umasikini wa serikali hauwezi kuifanya mahakama ipindishe haki za kisheria za washitaki na washitakiwa.
Useme serikali inaweza kuamua kuondoa kipengele cha uchaguzi mdogo, au kubadilisha ili usirudiwe, labda mshindi wa piuli aingie kuchukua nafasi, au jimbo libakli wazi hadi uchaguzi mwingine, huku wananchi wakisimamiwa na halmashauri/madiwani.
 
Ha ha haaa hawawezi kufanya hilo kosa Tena Arusha!!! CCM kwa sasa wanaogopa chaguzi ndogo kama ukoma
 
si lusinde atanyoongwa kabisa
Atanyongwa au anaweza asinyongwe!
Mara nyingine unaweza kuta hakuna shitaka hata moja katika bwabwaja zote zile alizoongea Lusinde!
Mkuu Sikonge alijaribu kuainisha matamshi yale kwa kina, na akaonyesha kuwa maneno mengi aliyotamka hayana nguvu ya kisheria kumbana ayathibitishe
Chukulia mfano Lusinde anaposema..."Dr Slaa anatembea kama vile......"
Hiyo 'kama" tayari inamfutia uwezekano wowote wa kupatikana na hatia katika tusi hilo!
Hapo ndipo sheria inapochukiza!
 
CCM wasuhangaike..........hii safari imeanzia Musoma.........tunaelekea Magogoni

Musoma, tunaitaka Serengeti,
Tayari Karatu tunayo, Mbule tunayo, Arusha tunayo,
Arumeru tunayo, hapo kati Hai kwa Mbowe tumechukua, Moshi mjini yetu, sasa tunaitaka Vunjo, Mwanga, Same, korogwe, Chalinze, Kibaha............then tunaunga na Ubungo tayari yetu, then tunachukua Kinondoni............Safari moko hiyo kuelekea magogoni 2015!!!

big up mkuu!!!kumbe we wajua safari ilpoanzia!hakika ndo barabara ya kuelekea magogoni!!
 
Ivi CCM mbona hawasomi alama za nyakati?
Of all the places wanataka Arusha wampige chini Lema?
Yangu macho na masikio
 
Wakubwa,
Baada ya kusoma habari hii nimejaribu kumpigia mtu fulani maarufu kwa masuala ya siasa na sheria, anasema hali ni ngumu kidogo kwa Lema...
Yeye anadai kuwa kwanza Lema alidanganya kuhusiana na Elimu yake, na mahakamani hilo lilidhihirika wazi!...Na alipobanwa juu ya hilo akasema kuwa alishaandika barua kwa katibu wa Bunge ili warekebishe kipengele hicho cha elimu kwenye taarifa zake za kibunge, ziendane na ukweli,..hivyo hapo pana substance kubwa ya kumuumiza!

Lakini mahakamani kinachopingwa ni taarifa za elimu yake au ushindi kwa kutumia lugha za udhalilishaji?, mi nafikiri masuala ya elimu n.k yanapingwa kwenye tume ya uchaguzi wakati wa mapingamizi. vinginevyo kama hati ya mashitaka imezungumzia tuhuma hii pia.
 
Wakubwa,
Baada ya kusoma habari hii nimejaribu kumpigia mtu fulani maarufu kwa masuala ya siasa na sheria, anasema hali ni ngumu kidogo kwa Lema...
Yeye anadai kuwa kwanza Lema alidanganya kuhusiana na Elimu yake, na mahakamani hilo lilidhihirika wazi!...Na alipobanwa juu ya hilo akasema kuwa alishaandika barua kwa katibu wa Bunge ili warekebishe kipengele hicho cha elimu kwenye taarifa zake za kibunge, ziendane na ukweli,..hivyo hapo pana substance kubwa ya kumuumiza!

Ni aibu na fedheha kwa watu wa Arusha kuongozwa na Mbunge ambaye ni MWONGO.

Mji umedorora kwa sababu tumemchagua mbunge mbumbumbu, asiye mwadilifu (ex-fugitive) na hana elimu hata ya kidato cha nne.

Kuvuliwa kwake ubunge na ikitokea akakatazwa kugombea tena ni jambo la faraja kwetu wana Arusha.

Tunaisubiri kwa hamu kesho 4/4/2012 tumwone kilaza akipigwa chini.
 
  1. Katika Ushahidi uliotolewa mahakamani hakuna kielelezo kilichowasilishwa kwa hakimu kukazia ushahidi. Hakukuwa na ushahidi wa sauti wala wa maandishi zaidi ya bla bla nyingi (hear say).
  2. Sina kumbukumbu sahihi kama mbwembwe za uchaguzi zilishawahi kutengua matokeo ya uchaguzi.
  3. Batilda Buriani hajawahi kuhudhuria mahakamani kukazia ushahidi wa wapiga kura walioathirika kisaikolojia mpaka wakampigia Lema kura badala ya Batilda.
 
Back
Top Bottom