God not needed for creation: Stephen Hawking


Hapa unajaribu kutumia ujinga wa watu wachache kuhusu Mungu ( yaani hasa Mungu ni nani?) kujumuisha watu wote wenye imani ya Mungu. Kwa maneno mengine kuwapo kwa watu wanaoamini kuwapo kwa mungu bila kujua hasa huyo Mungu ni nani hakuondoi ukweli kwamba kuna Mungu. Kutumia hoja hii ni sawa na kusema kwamba Tanzania haina raisi kwa sababu tu kuna watu ambao bado wanaamini kuwa Nyerere ni raisi wa Tanzania. ( It is a totally flawed argument).

First off, ninapoongelea mungu ninayempinga naongelea the personal god, one you can pray to and who can listen to your prayers, one that is concerned with petty human affairs, like a school soccer match, enough to intervene, one that can work supernatural miracles, the Judeo-Christian god of the Bible and Quran.

Nikikwambia kwamba OK, kuwapo kwa watu wanaoamini kwamba kuna mungu bila kujua hasa mungu ni nani hakuondoi uwezekano wa mungu kuwepo.

Huwezi kuniambia kwamba unajua kwamba kuna mungu, wakati definition ya mungu huyu ni kwamba hajulikaniki kwa akili za kibinadamu, hujui kama kuna mungu, unaamini tu. Na kuna tofauti kubwa sana kati ya kujua na kuamini. Mimi sitaki kuamini, nataka kujua. Kuamini unaweza kuamini chochote, kujua ukweli ni kumoja tu.

Lakini vile vile, kuwapo kwa watu wanaoamini kwamba kuna mungu bila kujua hasa mungu ni nani hakuondoi uwezekano wa mungu kutokuwepo. Imani si msingi wa kitu kuwepo, ingekuwa hivyo mimi ningeamini tu kwamba nina midola trillioni trillioni trillioni kwenye benki za Kiswizi, matatizo yangu ya kifedha yote yakaisha.

Kuna watu kibao wanaamini kwamba kuna mtu anaitwa Santa Claus anakaa North Pole na anakuja wakati wa Krismasi kuwapa zawadi watoto, lakini hili halimfanyi huyu Santa Claus kuwa mtu wa kweli.

Kuna watu kibao wanaamini kwamba dunia si mviringo, wanaamini kwamba dunia iko flat, mpaka leo ona hapa . Does this make the earth flat ?

Unatakiwa kutuonyesha kitu zaidi ya imani, kwa sababu kama imani tu inatosha kufanya kitu kuwa kweli, vipi kama imani mbili zinapingana? Wewe unaamini kuna mungu, mimi siamini hivyo, ukweli utakuwaje hapo ?

Welcome to the Flat Earth Wiki, otherwise known as The FEW. This website is dedicated to unraveling the true mysteries of the universe and demonstrating that the earth is flat and that Round Earth doctrine is little more than an elaborate hoax.

Much of the experimental evidence for a Flat Earth is provided by Dr. Samuel Birley Rowbotham, a 19th century lecturer who traveled the isles of Britian giving lectures at many prominent universities of the day. His experimental evidence is very easily reproducible and requires only access to a long body of standing water and a little trig to conclude that water is not convex, that the surface of the earth does not curve as Round Earth doctrine mathematically predicts. Other experiments require only a stick and a plumb line. Each of the experiments are described in full in the Flat Earth Literature.

Throughout the years it has become a duty of each Flat Earth Society member, to meet the common Round Earther in the open, avowed, and unyielding rebellion; to declare that his reign of error and confusion is over; and that henceforth, like a falling dynasty, he must shrink and disappear, leaving the throne and the kingdom of science and philosophy to those awakening intellects whose numbers are constantly increasing, and whose march is rapid and irresistible. The soldiers of truth and reason of the Flat Earth Society have drawn the sword, and ere another generation has been educated and grown to maturity, will have forced the usurpers to abdicate. Like the decayed and crumbling trees of an ancient forest, rent and shattered by wind and storm, the hypothetical philosophies, which have hitherto cumbered the civilized world, are unable to resist the elements of experimental and logical criticism; and sooner or later must succumb to their assaults. The axe is uplifted for a final stroke - it is about to fall upon the primitive sphere of the earth, and the blow will surely "cut the cumberer down!"
 
Kiranga unahitaji kuombewa.

Siwezi kuhitaji kuombewa wakati siamini katika maombi.

Labda wewe unahitaji ku satisfy ego yako in a condescending "holier than thou" way kwa kutaka kuniombea.

Kwangu mimi hakuna tofauti kati ya maombi na mafukizo ya Kalumanzira na waungwana pale Bagamoyo mlingotini, vyote ni superstitious beliefs tu, albeit moja imepandishwa ngazi zote za heshima ya kidini na nyingine inaonekana kama ushenzi, kwa sababu tu moja imekubalika kizungu na nyingine ni ya Kiafrika, lakini ukiangalia kwa kina vyote ni kitu kile kile.
 
Yep ni kufuru, I'm sure I'll be burning next to you in the eternal imaginary fires of the fairytale place you call hell.

To add up: If God created Tanzania and then created the leaders of CCM, then He must be really crazy and useless.......
 
simple answer yeye ndio source.yeye ndio mwanzo na chanzo. kwa kuwa sayansi haisemi source ya mwanaume wa kwanza ni nini au source ya mwanamke wa kwanza ni nini kwa kutumia akili alizokupa mungu lazima ujue huyo mungu asiye kuwa na physical na chemical properties ambazo ndio kikomo cha uelewa wetu ndio chanzo.

Sasa na wewe simple question kwa wasiomanini kwama mungu yupo tuchukulie kigezo kidogo tu unaweza kueleza chanzo cha mwanamke na mwanaume wa kwanza kwenye hii universe.?

Kwa hiyo, kwa vile umeshindwa kujua kwamba Mwanamke wa mwanzo na mwanaume wa mwanzo kwenye universe alianzaje ndo unakimbilia simple conclusion kwamba Mungu ndo aliwaumba?
 
First off, ninapoongelea mungu ninayempinga naongelea the personal god, one you can pray to and who can listen to your prayers, one that is concerned with petty human affairs, like a school soccer match, enough to intervene, one that can work supernatural miracles, the Judeo-Christian god of the Bible and Quran.

Nikikwambia kwamba OK, kuwapo kwa watu wanaoamini kwamba kuna mungu bila kujua hasa mungu ni nani hakuondoi uwezekano wa mungu kuwepo.

Huwezi kuniambia kwamba unajua kwamba kuna mungu, wakati definition ya mungu huyu ni kwamba hajulikaniki kwa akili za kibinadamu, hujui kama kuna mungu, unaamini tu. Na kuna tofauti kubwa sana kati ya kujua na kuamini. Mimi sitaki kuamini, nataka kujua. Kuamini unaweza kuamini chochote, kujua ukweli ni kumoja tu.

Lakini vile vile, kuwapo kwa watu wanaoamini kwamba kuna mungu bila kujua hasa mungu ni nani hakuondoi uwezekano wa mungu kutokuwepo. Imani si msingi wa kitu kuwepo, ingekuwa hivyo mimi ningeamini tu kwamba nina midola trillioni trillioni trillioni kwenye benki za Kiswizi, matatizo yangu ya kifedha yote yakaisha.

Kuna watu kibao wanaamini kwamba kuna mtu anaitwa Santa Claus anakaa North Pole na anakuja wakati wa Krismasi kuwapa zawadi watoto, lakini hili halimfanyi huyu Santa Claus kuwa mtu wa kweli.

Kuna watu kibao wanaamini kwamba dunia si mviringo, wanaamini kwamba dunia iko flat, mpaka leo ona hapa . Does this make the earth flat ?

Unatakiwa kutuonyesha kitu zaidi ya imani, kwa sababu kama imani tu inatosha kufanya kitu kuwa kweli, vipi kama imani mbili zinapingana? Wewe unaamini kuna mungu, mimi siamini hivyo, ukweli utakuwaje hapo ?

Sasa hapo pekundu umedanganya!
Umeshasema kuna Mungu...ingawa mungu wako ni sijui ni mathematical equation!...sasa nashangaa mnabishana nini!si uende ukamwabudu. kwani kuna mtu amekuzuia? its simple...hata hawking ameshindwa kueleza mpk hapo mwanzo. kila mtu akatafute Mungu wake na kumwabudu. mwisho wa siku tutajua Mungu wa kweli ni yupi!
 
Sasa hapo pekundu umedanganya!
Umeshasema kuna Mungu...ingawa mungu wako ni sijui ni mathematical equation!...sasa nashangaa mnabishana nini!si uende ukamwabudu. kwani kuna mtu amekuzuia? its simple...hata hawking ameshindwa kueleza mpk hapo mwanzo. kila mtu akatafute Mungu wake na kumwabudu. mwisho wa siku tutajua Mungu wa kweli ni yupi!
Nimeeleza hapo juu na object kwa a personal god, a Judeo Christian god. Kama huelewi hilo lina maana gani, Google is your friend.

Nikijua kwamba uumbaji umefanyika kwa forces of nature na mathematical harmony sihitaji kuabudu, nahitaji kujifunza zaidi tu. It is not like hesabu zitanitupa motoni kwa sababu sijazisujudu.
 
To add up: If God created Tanzania and then created the leaders of CCM, then He must be really crazy and useless.......
So actually you have a problem with God who would create the world the way it is now. Kwa maneno mengine you want a sort of God who would create the world in way you would like to see it........You are really very interesting if not crazy buddy.
 
Nimeeleza hapo juu na object kwa a personal god, a Judeo Christian god. Kama huelewi hilo lina maana gani, Google is your friend.

Nikijua kwamba uumbaji umefanyika kwa forces of nature na mathematical harmony sihitaji kuabudu, nahitaji kujifunza zaidi tu. It is not like hesabu zitanitupa motoni kwa sababu sijazisujudu.
Kiranga,
Je unaamini katika Spirits? Ni kweli kuwa unahitaji kujifunza katika mazingira ambayo tayari yameshatengenezwa ili uweze kumudu maisha yako, je umeshawahi kujiuliza kitu kimoja nacho ni kwamba, pamoja na sayansi kukupa majibu kwanini Scientific creation unayojifunza na Kuitafiti bado haiwezi kufanana na natural creation? Na katika hilo nini msimamo wa kisayansi kuhusu utofauti wa creations. Lakini pia kwa vipi natural forces zilifanya uumbaji na kujiridhisha kuwa sasa inatosha na zisiendelee kufanya creation zaidi na zaidi? Je nini kimezuia hizi natural forces zisiendelee kufanya creation.
 
ok,

simple questions. Kama mungu kweli yupo na kwa wanaoamini kwmaba kuwepo kwa kitu lazima kuwe po na source yake, then where didi god came from. what ws his source, who created him.

Kuna bwana mmoja alitaka kupata majibu ya maswali hayo akaamua kwenda ufukweni mwa bahari ili apate muda wa kuwaza vizuri. Akiwa katika kufikiri mara akamuaona mtoto mdogo anachimba kashimo ufukweni na yuko busy anachukua maji ya baharini anaweka kwenye kale kashimo alikochimba kwa mkono.

Huyu bwana ilibidi amfuate yule mtoto na kumuuliza anafanya nini, mtoto akamwambia anataka ayahamishe maji ya baharini yote ayaweke kwenye kale kashimo. The guy akasema wewe mtoto huwezi kuhamisha maji tote ya bahari kwenda kwenye kashimo hako its not possible.

Then he realized kwamba kumbe na yeye kujua chanzo cha Mungu kwa kutumia his limited mind was too much, its just not possible. Akaamua kurudi nyumbani.

God does not have limits, we are limited being, its not possible to research God we have limited minds.
 
In addition to the biblical arguments for God’s existence, there are logical arguments. First, there is the ontological argument. The most popular form of the ontological argument uses the concept of God to prove God’s existence. It begins with the definition of God as “a being than which no greater can be conceived.” It is then argued that to exist is greater than to not exist, and therefore the greatest conceivable being must exist. If God did not exist, then God would not be the greatest conceivable being, and that would contradict the very definition of God.

A second argument is the teleological argument. The teleological argument states that since the universe displays such an amazing design, there must have been a divine Designer. For example, if the Earth were significantly closer or farther away from the sun, it would not be capable of supporting much of the life it currently does. If the elements in our atmosphere were even a few percentage points different, nearly every living thing on earth would die. The odds of a single protein molecule forming by chance is 1 in 10243 (that is a 1 followed by 243 zeros). A single cell is comprised of millions of protein molecules.

A third logical argument for God’s existence is called the cosmological argument. Every effect must have a cause. This universe and everything in it is an effect. There must be something that caused everything to come into existence. Ultimately, there must be something “un-caused” in order to cause everything else to come into existence. That “un-caused” cause is God.

A fourth argument is known as the moral argument. Every culture throughout history has had some form of law. Everyone has a sense of right and wrong. Murder, lying, stealing, and immorality are almost universally rejected. Where did this sense of right and wrong come from if not from a holy God?
 
But first consider this. If a person opposes even the possibility of there being a God, then any evidence can be rationalized or explained away. It is like if someone refuses to believe that people have walked on the moon, then no amount of information is going to change their thinking.

Photographs of astronauts walking on the moon, interviews with the astronauts, moon rocks...all the evidence would be worthless, because the person has already concluded that people cannot go to the moon.
 
Hizi mada kiranga alikuwa anazipendaga Sana'a.but MUNGU aka mrip(not sure)
Also huyu mwenzake naye ka rip sijuh wakikutana humo watafanyaje
 
Hizi mada kiranga alikuwa anazipendaga Sana'a.but MUNGU aka mrip(not sure)
Also huyu mwenzake naye ka rip sijuh wakikutana humo watafanyaje
yupo nimoja ya member walio nifanya nijiunge jf kwa upande wa physics amenitoa tongotongo wafia dini waliokuwa wanakosa hoja Na mada zilikua motooo. kilanga welcome back nimeona umechungulia hapoo
 
yupo nimoja ya member walio nifanya nijiunge jf kwa upande wa physics amenitoa tongotongo wafia dini waliokuwa wanakosa hoja Na mada zilikua motooo. kilanga welcome back nimeona umechungulia hapoo
Wafia dini walikua wanakosa hoja au macho yako na ya kiranga hayana tofauti!?
 
Si unaona hadi hapa anawapeleka puta sijaona aliyetoa majibu ya kushinda hoja za bwana kiranga
 
World-renowned physicist Stephen Hawking died at age 76. He once said, "I regard the brain as a computer which will stop working when its components fail. There is no heaven or afterlife for broken down computers; that is a fairy story for people afraid of the dark." I wish I could have asked Mr. Hawking who he thought designed the human brain. The designers at HP, Apple, Dell, or Lenovo have developed amazing computers, but none come even close to the amazing capabilities of the human mind. Who do you think designed the human brain? The Master Designer—God Himself. I wish Stephen Hawking could have seen the simple truth that God is the Creator of the universe he loved to study and everything in it.
The Bible says, "You alone are the Lord. You have made the heavens, The heaven of heavens with all their host, The earth and all that is on it, The seas and all that is in them. You give life to all of them And the heavenly host bows down before You” (Nehemiah 9:6).
 
He died this Months. What am not sure is whether he dead as a christian or pagan.
 
Back
Top Bottom