cacico
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 8,362
- 7,797
mwahhhhhhh!Thanks baby. I love you to pieces my darling.
mwahhhhhhh!Thanks baby. I love you to pieces my darling.
King'asti umejuaje kuwa navuta msuba jamani?? tena leo nimepiga misokoto miwili! kudadadaddeki, ulizia sasa gemu lake baada ya hapo! wapi @YM?? Lolest!
jk na 50 cent je?? au kolabo yoyote ya capteni komba na lulu kama unayo pia, tuwekee tafadhali! lolHivi unayo collabo yoyote jk na jay z? Naomba nipigiwe hiyo tafadhali.
naomba pia speechless by Michael Jackson, uwafikie BADILI TABIA, Asprin, Yummy! ujumbe tuandae tena 3some nyingine nina hamu ya kuteguka kiuno!
umeanza!! ebo! niacheni, DHAIFU Mwenyewe anapuliza itakuwa mimi??? kha!bora wewe mwanamke mwenzake umemwambia maa na nikimwambia mimi anasema eti nimemchoka.
ila leo tusiteguane viuno tu, maana muhimbili kimenuka!! karibu uji wa kungu, najituliza nao huku nikimuombea dr ULI, lolest!Lol......asante sana dear. Fanyeni mpango basi fastaaa nije,hizi njemba mbili ziko wapi zinatuchelewesha bana
ila leo tusiteguane viuno tu, maana muhimbili kimenuka!! karibu uji wa kungu, najituliza nao huku nikimuombea dr ULI, lolest!
et dada Remmy kuna sehem kwny twist wanaimba hv "hata sisi wanyama wa msituni, tunaipenda na kuimba" hv ina maana wanyama wa msituni ni akina nani?
Bibie hujambo!
jana nimekujua wewe ni nani?
Za masiku lakini
Hukunialika birthday yako
Miss you.
naomba wimbo wa im in love with a DJ NA THANK U MR.DJ FOR PLAYING MA SONG WA CHAKACHAKA umfikie dj
The secretary wamekujua lol, usikimbilie kwa PM weka mambo hadharanhebu ni pm unambie za masiku poa tu
@Secretary wamekujua lol, usikimbilie kwa PM weka mambo hadharan
Hivi unayo collabo yoyote jk na jay z? Naomba nipigiwe hiyo tafadhali.
Mmh mwaka 2004 na mimi nilikuwa naufagi sana.nimejulikana dunia haina siri
Watakua kina Nyani Ngabu hao!
Watakua kina Nyani Ngabu hao!
asante mpzNaomba twist yoyote iwafikie CUTE, BAGAH, Saint Ivuga, @Mr. Rocky, Madame B, Kaizer, Remmy, beibe nasty, Kongosho, The secretary, Judgement, @Smilling Saint, BADILI TABIA, Young_Master, bila kuwasahau Bishanga @Aspirin, na pacha wake klorokwini FirstLady1
UJUMBE: Tukumbukane kupitia chit chat kwani haina mpinzani hapa JF..................