Global village- ni nini?

Mtazamaji

JF-Expert Member
Feb 29, 2008
5,937
1,437
Kwa kiswahili tunasema Dunia kama kijiji.. Neno hili limekuwa msemo sababau ya Internet na TEKNOHAMA. Mfano Leo hii unaweza
  • "kutembelea " yard ya magari liyopo japan au Dubai hku ukiwa kinondoni tabora au kanyigo. kwenye kompyuta
  • Kusikiliza lecturer ya mkufuzi wa havard au MIT juuya mda mbali mbali. Siku hizi ukija kusikiliza habari za kimataifa za vitup vyetu vya kama ITV au TBC zinakuwa si habari mpaya tena sababu umeshaziona kwenye net na forum kama jf
  • Kuchat in real time. kutuma email na mtu wa mbali na kupata majibu kwa haraka
  • kazi- Kuna kmpuni za marekani ulaya kupunguza gharama za undeshaji unakuta vitenngo fulane eg call center viko nchi kama india. Lakini mteja anapopga simu au kuomba msaada hajui mtu anayemsaidia yuko wapi .
  • Unaweza kuwa dar ukafanya mapenzi au kutongoza online na mtu yuko mbali teh teh teh teh teh teh
Wikipedia wanasemaje?
…….Today, the term "Global Village" is mostly used as a metaphor to describe the Internet and World Wide Web.[SUP][citation needed][/SUP] On the Internet, physical distance is even less of a hindrance to the real-time communicative activities of people, and therefore social spheres are greatly expanded by the openness of the web and the ease at which people can search for online communities and interact with others that share the same interests and concerns.

Sijui wadau mna maoni gani kuhusu dunia yetu kama kijiji imeleta changamoto, mabadiliko, maendeleo na matatizo gani hasa kwa Tanzania

Binafsi najuliza kwa nn tunshindwa ku loby kampuni fulani za US au UK zifungue japo call center ya africa au east africa hapa Tanzania. Lugha yetu ni kingereza call center haiziitaji utaalamu sana au wasomi. Mshara wa wataolipwa watanzania japo unawe auwa mzuri au wa wastani utaokoa gharam nyingi za hao mabepari tofauti na wanavyowalipa wahindi au wafilipino. Kifupi operation cost ya call center tanzania inaweza kuwa nafuu kulio hata india. Waht should we do??????

Karibu tujadiliane wadau Dunia kama kijiji
 
Kenya wana mpango huo wa call centres na hizi fiber zitawasaidia katika hilo.
Mimi sina uhakika kama EA tunaweza kushindana na India in terms of cost na lugha pia, India wana accent ambayo wamarekani wanaichukia ila wanajua english. Hapa kwetu itabidi uwachukue watu wenye elimu zaidi, ambao mishahara ya call center haitawatosha.
 
Kenya wana mpango huo wa call centres na hizi fiber zitawasaidia katika hilo.
Mimi sina uhakika kama EA tunaweza kushindana na India in terms of cost na lugha pia, India wana accent ambayo wamarekani wanaichukia ila wanajua english. Hapa kwetu itabidi uwachukue watu wenye elimu zaidi, ambao mishahara ya call center haitawatosha.

Kang
Nadhani tunaweza kushindana nao . tatizo kubwa lillopo ni wahusika hakuna ambaye hata amefikiria hiyo opportunity. Rais wetu yeye anasema komyuta kwa kila mwanafunzi as if hiyo ndiyo maendeleo. Kama kenya wana mpango huobasi ndio maana jamaa wanatuzidi.

Ingawa tuna issue ya umeme na network lakini hata office space nadhani sababu sisi ni undervdeveloped running cost yetu na gharama ni cheaper kuliko hata india. Mishahara ya call center kwa standard za makampuni makubwa na hata ikishuhswa kwa watanzania wengi ni mkombozi. Hivi unajua kuna watu wanamaliza chuo na degree wanafanya kazi kwa mshahara wa laki 3..............

Kama ulivyosema hizi fiber ni opportunity kwa watendaji wetu ku lobby kuleta call center za kampuni mbali mbali. Ndio hapo huwa najiuliza Role ya mabalozi wetu walio nje. Badala ya rais kuomba HP wafungue kiwanda kitu amabcho sio rahisi angewaomba wafanye majaribio ya kuazisha call center ya east aand south africa hapa tanzania.......
 

Binafsi najuliza kwa nn tunshindwa ku loby kampuni fulani za US au UK zifungue japo call center ya africa au east africa hapa Tanzania.
Lugha yetu ni kingereza call center haiziitaji utaalamu sana au wasomi. Mshara wa wataolipwa watanzania japo unawe auwa mzuri au wa wastani utaokoa gharam nyingi za hao mabepari tofauti na wanavyowalipa wahindi au wafilipino. Kifupi operation cost ya call center tanzania inaweza kuwa nafuu kulio hata india. Waht should we do??????

Inawezekana ila ni ngumu kidogo kwasababu watumiaji wa internet sio wengi huku kwetu. Kwa Tanzania population penetration ni 1.6% ambayo in kama watu laki tano tuu wakati india population penetration ni zaidi ya 6% ambayo ni kama watu milioni themanini. Sasa ukija kwenye infrastracture huku kwetu ndo tunaharibu kabisa, kwa hiyo kabla ya ku-lobby wabwana wakubwa inabidi tufanye ka-homework kwanza.
 
......... kwa hiyo kabla ya ku-lobby wabwana wakubwa inabidi tufanye ka-homework kwanza.

Thanks chamoto

Lakini ka hmewoosk kenyewe mfano wake si ndio hiyo fiber. Au mfano wa hizo homewor ni kama zipi?

kang kaongelea Kenya tayari wanayo vision hiyo ya call center . Sasa sisi watu wetu tanania hata mawazo kama haya hawana sasa watafanya homeeork gani wakati hata somo lenyewe la global village hawalijui........

Kwa Population india inaweza kutuzidi but ht about philipnes. Nimesoma sehemu kuwa Wafiliino wanaanza kuteka kazi za call center sana sababu ya kingereza chao ni kizuri kuliko cha wahindi na yet wafiliipino wako cheaper sabau wahindi uchumi wao unavyokuwa na gharama yao inapanda.....

Kwa hiyo nadhani kwanza inabidi tuelimishane ni oportunities gani zipo ili zifanyiwe hiyo homework . Zaidi ya hapo tutabaki na viopportunity vya internet cafe na zile za kutufanya sisi kuwa wateja wao tu.
 
Kwa hiyo nadhani kwanza inabidi tuelimishane ni oportunities gani zipo ili zifanyiwe hiyo homework . Zaidi ya hapo tutabaki na viopportunity vya internet cafe na zile za kutufanya sisi kuwa wateja wao tu.

Oportunity zipo nyingi kwamfano ku solve captcha manually ni moja ya business kubwa sana huko India na success rate yake ni zaidi ya 98% tofauti na optical character recognition software (OCR) ambazo success rate ni chini ya 48%. Mchezo wenyewe uko hivi, Kuna watu wengi wana run online business umagharibini na katika shughuli zao wanahitaji ku-register account nyingi kwa mfano yahoo email. Tatizo ni kwamba kabla ya kutengeneza account ni lazima u-solve captcha. Sasa kama mtu anahitaji kuwa na 10000 account hawezi kufanya hivyo manually, inabidi atumie program.

Tatizo linakuja kuwa ni vigumu kuread image (captcha) programatically kwa kutumia OCR kwasababu kampuni nyingi kama google huwa zinaweka noise kubwa kwenye image na japokuwa unaweza kutengeneza neural network (algo) ku solve captcha progamatically gharama ya kumaitani hiyo algo ni kubwa sana kwasababu yahoo (kwa mfano) huwa wanabadilisha noise kwenye captcha mara kwa mara kwahiyo success rate inakuwa ndogo sana.

Sasa watu wakaja na hii kitu ya kutumia binadamu (wahindi) ili ku solve captcha (1000 attempts for $2) kitu ambacho kwa wanagharibi ni utumwa falani hivi na unaweza kushitakiwa kumfanyisha kazi mtu kwa rate hiyo lakini kwa wahidi hilo ni dili. kwahiyo mtu anatengeneza script (mimi binafsi nimetenegeza nyingi za namna hiyo) ambayo wakati ina parse html text, ililuta kuna captcha (image url) ina download image na kuipeleka India.

Jamaa, captcha breakers, wana solve manually halafu software yao ina return results kwenye script yako through http response kama text (it takes less than 10 seconds) na yenyewe inaendelea na shuguli yake. Mfano wa serveice ambayo nimeitumia ni decaptcher

Hii ni moja ya fuction ambayo hutumia kusend captcha, decaptcher, ili wanisovie
PHP:
 Function RecogniseCaptcha ($username, $password, $filename){

  $postData = array();
  $postData[ 'function' ] = "picture2";
  $postData[ 'username' ] = "$username";
  $postData[ 'password' ] = "$password";
  $postData[ 'pict_to' ] = "0";
  $postData[ 'pict_type' ] = "0";
  $postData[ 'pict' ] = '@'.realpath("$filename");
  $postData[ 'submit' ] = "Send";

  $data = curlypost ("http://poster.decaptcher.com/", $postData);
  $pieces = explode ("|", $data);

     if ( is_file  ( 'C:\cookie\co.txt' )  ) {
        unlink ( 'C:\cookie\co.txt' );
       }
  return $pieces [5];
}

Hii business ya captcha breaking ni very lucrative kwasababu spammers wengi sana wanahitaji ku break captcha ili kusend spam email. Kwa siku kampuni hizi huwa zina break captcha zaidi ya millioni mbili (revenue ni $4000 per day) na gharama ya kuendesha hizi center ni chini ya $100 kwa siku. Hiyo ni opportunity nyingine inayoweza kuwa implemented bongo ila naelewa siyo hela yaajabu kiivyo lakini mtu anaweza anzisha iliapate baadae apate mtaji wa kifisadi :) .

Mon ami Mtazamaji, umedokeza jambo zuri sana na opportunity zipo nyingi hiyo ni moja tuu iliyokuja off the bat.
 
Dah hiyo kuvunja Captcha ziwezi kusupport kabisa ndo watu wanaoharibu mtandao hao, tutafute kitu ethical cha kufanya.
 
Dah hiyo kuvunja Captcha ziwezi kusupport kabisa ndo watu wanaoharibu mtandao hao, tutafute kitu ethical cha kufanya.

Kang
wewe unatakiwa upewe kitengo Tume ya maadili ya ICT au wakupe kitengoc cha Cyber crime. tutakoma wachakachuaji. teh teh teh teh. But nakubaliana na wewe opportunity ziko nyingi za kifisadi na za halali.
 
Naomba kujua, hivi ni TEKNOHAMA au TEHAMA -- I am of the opinion kwamba we need a standardized term here!
 
Mfano sasa hivi kuna bunge TBC wanaonyesha kwenye runinga.

Kama kuna watu wa ofisi ya bunge na hata TBC wafikirie huu ushauri wanatakiwa kuwa na Live Online editor au web presenter ambaye angeakuwa anaandika maelezo na hotuba za bunge live mtandaoni. kadiri zinavyotoka. Matangazo ya kazi za aljazeera yanatakiwa yawafumbue macho TBC na media personel popote walipo ...

Hii ingewasaidi watanzania hasa walio nje kupata habari on time kupitia official channel

Naomba kujua, hivi ni TEKNOHAMA au TEHAMA -- I am of the opinion kwamba we need a standardized term here!
Kwangu binafsi naona TEKNOHAMA inapendeza na ina ladha nzuri kutamkika lakini swali ni ipi litakuwa standard nadhani itategema na matumizi ya watu wenyewe ni neno lipi litahsika kasi zaidi . wewe unaonaje mkuu lipi lipitishwe.
 
Back
Top Bottom