Giza mara kwa mara Stendi ya Daladala Mawasiliano mpaka kiwe kichaka cha uhalifu ndio mshughulikie?

Precious Diamond

JF-Expert Member
Jun 9, 2023
397
993
Stendi ya Daladala Mawasiliano taa hazifanyi kazi, yaani haziwaki, na ali hii imekuwa ikitokea mara kadhaa majira ya usiku na hivyo kusababisha mazingira hatarisha hasa kwa usalama wa abiria na raia wanaosubiri huduma ya usafiri pamoja na Wafanyabiashara wa maeneo haya.

Mamlaka shughulikieni suala hili, kituo hiki kipo mjini, mazingira ya umeme kukatika haileti picha nzuri na ni aibu kwa viongozi wanaohisika.

Mnataka mpaka matukio ya kukabwa yashamiri ndio mshtuke?

 
Stendi ya Daladala Mawasiliano taa hazifanyi kazi, yaani haziwaki, na ali hii imekuwa ikitokea mara kadhaa majira ya usiku na hivyo kusababisha...
Yaani Mimi ndo hapo viongozi wetu siwaelewi. What are our priorities? Imagine dar hata Umeme wa stand ni changamoto, uchafu kila kona, maji ya shida, usafiri wa umma shida…the list is endless…ila sasa Unakuta viongozi wameshupaza shingo kukimbizana na dada poa!

africa tumejaliwa kila kitu isipokuwa viongozi.
 
Dokezo la kuwekwa taa lilishapelekwa kwa mamlaka husika kwa hiyo Halmashauri ipo katika hatua za kulitatua hilo tatizo
Hata taa za solar zinahitaji dokezo? Wafanyabiashara si wajiongeze tu hapo, maana mambo mengine kushabikia ni upuuzi.
 
Wahuni ushuru wanachukua ila kuweka Generator la diesel usitegemee kama hicho kitu kitafanyika muhuni anaona mbona nyumbani sina kwa nini niiandike ili awa wapate Kilimanjaro Airport umeme ulikua unakatika KLM inaenda kutua daslm au Entebbe hapo kwenye Bus hakuna anaewaza...
 
Wahuni ushuru wanachukua ila kuweka Generator la diesel usitegemee kama hicho kitu kitafanyika muhuni anaona mbona nyumbani sina kwa nini niiandike ili awa wapate Kilimanjaro Airport umeme ulikua unakatika KLM inaenda kutua daslm au Entebbe hapo kwenye Bus hakuna anaewaza...
Taa za solar zipo nyingi kubwa na nzuri tu, huhitaji generator.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom