Giza kila mahali

mosquito

Member
Nov 5, 2010
15
0
Nilikuwa safarini kuja tukuyu,abiria akaniambia segerea wana siku ya pili hawana umeme,nimeingia hapa tukuyu ni giza totoro! Bahati nzuri nna simu ya kitochi.Nadhani nchi imefilisiwa,njiani wananchi wengi wanaishi nyumba za hali ya chini na sidhani kama wanajua kinachoendelea.nawahabarisha
 
yaani mkuu huku segerea ni vilio tu, maadam wangejua ni jinsi gani wanavyo watia watu loss yaani acha tu, saloon, mabucha, internet cafe, stationeries,maduka mbali mbali yaani kila kona uzalishaji ulisimama na hawa watu wanatakiwa kurejesha mikopo ya biashara walizokopa. taabu tupu
 
yaani mkuu huku segerea ni vilio tu, maadam wangejua ni jinsi gani wanavyo watia watu loss yaani acha tu, saloon, mabucha, internet cafe, stationeries,maduka mbali mbali yaani kila kona uzalishaji ulisimama na hawa watu wanatakiwa kurejesha mikopo ya biashara walizokopa. taabu tupu

Poleni sana
 
Cause of Segera problem: 33kV feeders namely Segerea and UB-0 feeders from 28/01/2011 to 30/01/2011.
*
The feeders were looped after the breaker for Segerea feeder failed to operate automatic as well as manualy.
*
Therefore, the*main cause of this breakdown was failure of 33kV breaker for Segerea feeder which is now out of the circuit, broken conductors, jumpers and disc insulators.
*
Power was restored after intensive line patrol, replacement of broken disc insulators, reconnection of broken jumpers and HT conductors, tree cutting and looping of two feeders inorder to use breaker for UB-
0

Power is restored and I hope the area will be exempted from loadshedding for 3 days

Mhandisi, Mifumo na njia kuu za umeme
 
Ni balaa kwa kweli, na hili tatizo hakuna hata dalili kuwa litatatuliwa hivi karibuni ili kupata suluhu ya kudumu!
 
yaani mkuu huku segerea ni vilio tu, maadam wangejua ni jinsi gani wanavyo watia watu loss yaani acha tu, saloon, mabucha, internet cafe, stationeries,maduka mbali mbali yaani kila kona uzalishaji ulisimama na hawa watu wanatakiwa kurejesha mikopo ya biashara walizokopa. taabu tupu
Hao waliochukua mikopo wakishindwa kulipa kutokana na uzembe wa serikali ndio watapata nguvu ya kuingia mtaani!!
 
Hivi wale Waarabu wanakuaje na ujasiri kuliko sisi Waafrika?

Sisi waafrika weusi tuko waoga sana. Hatuna ujasiri kama waarabu na wazungu. Ndo maana serikali zetu zinatutesa mpaka matopeni na hatuwezi kugangamala. Tu waoga sana wa risasi.
 
Hivi wale Waarabu wanakuaje na ujasiri kuliko sisi Waafrika?

Wale jamaa moyo wao sidhani kama tunautaka wote kama ulivyo...Nusu ya moyo wao tu kwetu ni ukombozi tosha...Wale Jamaa wanapigana vita ambayo wana uhakika kuwa hawatarudi wala kuonana na familia zao.....so I think we need half of that to get out of this Shit....
 
Back
Top Bottom