Naamin jukwaa la JamiiForums ni dubwasha kubwa zaidi ya bahari..
Huenda tukakuta humu kuna watu wazuri walitusaidia lakini tukapotezana nao bila kurudisha fadhila ni vyema tukashare story huenda wahusika wapo humu****
Ngoja nianze kushare kisa changu
*****************
PART: I
Exactly ngoja na mimi nichangie lililonikuta
Nakumbuka 2015 ndio nimemaliza Advance shule X Kanda ya kaskazini.........
Basi bwana hili na lile kipindi kile awamu ya mkwere nikachaguliwa jeshi huko kusini mwa Tanzania, kambi 842Kj ( Mlale jkt, kwa wasiojua hii ni utambulisho namba ya kikosi)
Kwakuwa mzee alikuwa kikazi akisafiri safiri...akanipa nauli, pesa ya matumizi na hela ya guest ..net akuzidisha.
Basi bwana safari ilianzia dar tulipokiwepo tunakaa
Akanipakia kwenye bus ( Kampuni ya wale macho madogo) wakati naenda kupanda aliniambia maneno haya
"Mwanangu ww ni mtoto wa kiumbe lazma uishi kiume hivyo unajua kusoma na simu unayo ufike salama"
Nikamjibu Ahsante ila moyoni nilikuwa naogopa maana km unaenda mikoa ya kusini nimeishia kufika moro tu huko mbele nilikuwa sikujui I mean, iringa,njombe, mpaka songea
Safari ilianza Alfajiri saa kumi na moja..kimbembe kwanza nilikosa siti na deadline kuriport ilikuwa tarehe 15/june/2015 ...mimi nikawa nasafiri tarehe 14/june/2015
Mzee aliwaambia muwekeni popote ajibanze ila cha msingi afike ...konda akaniweka pale mbele kwa dereva ( wazee wa mabasi wanaita kwenye kigodoro 😁😄😄)
Safari ilienda mchana kutwa mpaka usiku hatimaye tukafika Songea saa sita usiku, Hebu kwanza kuna kakitu nimesahau ngoja niwajuze( Kwakuwa nilikuwa nimekaa kwenye kigodoro nikapewa task na konda ya kusupply vitrey vya dust bin 🥺😔😔, Nitafanyaje sasa ndio nimepewa kazi ....but good thing ni kwamba kila tulipokuwa tunashuka kula msosi kwenye hotel konda na dereva wakawa wananichukua kwenda kupiga MENU free yaani kwa kifupi nilikuwa chawa wa safari siku hiyo😁😁😁😁)
Basi bwana ile kufika stand kipindi hicho palikuwa panaitwa msamara sijui kama sahizi wamebadili jina maana sijafika tena huko.
Kufika stand show inaanza umeme umekata giza totoro vitorch tu unaviona...lakini kilichonishangaza sikuile sikuona nyumba zikiwaka taa kwa wale watumia majenereta na soral pannel sikujua kwann nikaamua kuachana nalo maana hilo sio lililonipeleka...Baadhi ya abiria walishuka wengine wakalala ndani ya gari
Mm huwa napenda hadithi sana kiasili hasa za masimulizi nikakumbuka kuna msemo niliwa usoma "NDEGE ASIYERUKA HAWEZI KUJUA WAPI ULEZI UMEKOMAA"
Basi nikashuka kuzungukazunguka usiju ule angalau nipate muhindi wa kuchoma....Ghafla pembeni muendesha tax aliniita akaniuliza unataka usafiri
Nikamjibu ....Hapana mm ni mgeni naenda jeshi kituo "Y" (Nishakitaja juu kule 👆) maongezi yaliendelea baadaye akasema km hutojali twende ukalale nyumbani kwangu na ukicheki simjui kabisa
Kweli nikakubali nikaenda nae mpaka kwake nikamkuta mkewe na mtoto mdogo umri makadirio km miaka 9 hivi wa kike na mwingine wakiume km miaka 15 hivi
Wakaniandalia màji nikaenda kuoga , Lakini wakati naenda kuoga nikapata hofu nisije kuibiwa kwenye begi langu..nikatoa pesa na simu ( Maana hizi ndio visa na passport za safari🤣🤣🤣).....nikaenda navyo bafuni
Kurudi nikakuta msosi pale na baba mwenye nyumba tukakipiga ipasavyo kile kiuno cha ray C ( Ulikuwa wali maharagwe) nikaandaliwa chumba tukalala na yule mtoto wa kiume miaka 15 chumba kimoja
Asubuhi kulivokucha akanipakia kwa tax mm na watoto wake ...akawapeleka shule na mimi akanipeleka stand kisha akaniandikia namba kwenye kikaratasi nikipata changamoto yoyote nimpigie but kitu alichokuwa hakijui alijua sina simu
Kufika stand picha linaanza naendaje kambini na sipajui ukicheki na ule mteru wa story za jeshi
Basi mwana ikabidi nijiongeze kwenda migahawani kunywa chai ....nikaingia mgahawa flani nikaagiza chai na viazi utamu (Kumbuka lengo langu halikuwa chai ila nilijua kupitia migahawa lazima tu nitakutana na Mates wenzangu wanaoenda kambini...swali je nitawajuaje? Kwangu nilikuwa naangalia kigezo kimoja tu body appearance yaani upara) japo mm nilikuwa cjanyoa
Kweli mle mgahawani niliwapata km watano hivi tukajioganise tukawapata wengine km kumi tukakodi hiace tiyari kwa kwenda kambini
Kufika getini kabla hatujaingia tukapokelewa na rolling na kucrow ukaanza ukaguzi pale na siku ile pale getini ndio nilidondosha ile karatasi yenye namba za simu but sikujua km sikuile ndio niliidondosha
Nikawa offline muda kwa mazoezi na simu tulipokonywa but baada ya six week kulikuwa na utaratibu wa kwenda out mjini wenye walikuwa wakiita siku ya kupunguza uzito kuruti( yaani mikasi au kwa lugha nyingine ku-downlod na ku-upload upwiru😄😄)
Sasa si ndio natafuta ile namba mzee akanitembeze mji wa songea dah I was so dissapointed bwana ile😔😔😔🥺🥺, karatasi siioni na nilipanga nikampe fadhira kidogo nilizosave pocket money na zile posho za jkt za mwezi
NAkiri huyu ni mtu muhimu pia niliyepotezana nae Although I was too teeneger na yeye he was like, my father
Kama hii story anahisi alikuwa ni yeye please nicheki pm alinisaidia sana kwanza aliniamin na mm sikumuangusha
Huenda tukakuta humu kuna watu wazuri walitusaidia lakini tukapotezana nao bila kurudisha fadhila ni vyema tukashare story huenda wahusika wapo humu****
Ngoja nianze kushare kisa changu
*****************
PART: I
Exactly ngoja na mimi nichangie lililonikuta
Nakumbuka 2015 ndio nimemaliza Advance shule X Kanda ya kaskazini.........
Basi bwana hili na lile kipindi kile awamu ya mkwere nikachaguliwa jeshi huko kusini mwa Tanzania, kambi 842Kj ( Mlale jkt, kwa wasiojua hii ni utambulisho namba ya kikosi)
Kwakuwa mzee alikuwa kikazi akisafiri safiri...akanipa nauli, pesa ya matumizi na hela ya guest ..net akuzidisha.
Basi bwana safari ilianzia dar tulipokiwepo tunakaa
Akanipakia kwenye bus ( Kampuni ya wale macho madogo) wakati naenda kupanda aliniambia maneno haya
"Mwanangu ww ni mtoto wa kiumbe lazma uishi kiume hivyo unajua kusoma na simu unayo ufike salama"
Nikamjibu Ahsante ila moyoni nilikuwa naogopa maana km unaenda mikoa ya kusini nimeishia kufika moro tu huko mbele nilikuwa sikujui I mean, iringa,njombe, mpaka songea
Safari ilianza Alfajiri saa kumi na moja..kimbembe kwanza nilikosa siti na deadline kuriport ilikuwa tarehe 15/june/2015 ...mimi nikawa nasafiri tarehe 14/june/2015
Mzee aliwaambia muwekeni popote ajibanze ila cha msingi afike ...konda akaniweka pale mbele kwa dereva ( wazee wa mabasi wanaita kwenye kigodoro 😁😄😄)
Safari ilienda mchana kutwa mpaka usiku hatimaye tukafika Songea saa sita usiku, Hebu kwanza kuna kakitu nimesahau ngoja niwajuze( Kwakuwa nilikuwa nimekaa kwenye kigodoro nikapewa task na konda ya kusupply vitrey vya dust bin 🥺😔😔, Nitafanyaje sasa ndio nimepewa kazi ....but good thing ni kwamba kila tulipokuwa tunashuka kula msosi kwenye hotel konda na dereva wakawa wananichukua kwenda kupiga MENU free yaani kwa kifupi nilikuwa chawa wa safari siku hiyo😁😁😁😁)
Basi bwana ile kufika stand kipindi hicho palikuwa panaitwa msamara sijui kama sahizi wamebadili jina maana sijafika tena huko.
Kufika stand show inaanza umeme umekata giza totoro vitorch tu unaviona...lakini kilichonishangaza sikuile sikuona nyumba zikiwaka taa kwa wale watumia majenereta na soral pannel sikujua kwann nikaamua kuachana nalo maana hilo sio lililonipeleka...Baadhi ya abiria walishuka wengine wakalala ndani ya gari
Mm huwa napenda hadithi sana kiasili hasa za masimulizi nikakumbuka kuna msemo niliwa usoma "NDEGE ASIYERUKA HAWEZI KUJUA WAPI ULEZI UMEKOMAA"
Basi nikashuka kuzungukazunguka usiju ule angalau nipate muhindi wa kuchoma....Ghafla pembeni muendesha tax aliniita akaniuliza unataka usafiri
Nikamjibu ....Hapana mm ni mgeni naenda jeshi kituo "Y" (Nishakitaja juu kule 👆) maongezi yaliendelea baadaye akasema km hutojali twende ukalale nyumbani kwangu na ukicheki simjui kabisa
Kweli nikakubali nikaenda nae mpaka kwake nikamkuta mkewe na mtoto mdogo umri makadirio km miaka 9 hivi wa kike na mwingine wakiume km miaka 15 hivi
Wakaniandalia màji nikaenda kuoga , Lakini wakati naenda kuoga nikapata hofu nisije kuibiwa kwenye begi langu..nikatoa pesa na simu ( Maana hizi ndio visa na passport za safari🤣🤣🤣).....nikaenda navyo bafuni
Kurudi nikakuta msosi pale na baba mwenye nyumba tukakipiga ipasavyo kile kiuno cha ray C ( Ulikuwa wali maharagwe) nikaandaliwa chumba tukalala na yule mtoto wa kiume miaka 15 chumba kimoja
Asubuhi kulivokucha akanipakia kwa tax mm na watoto wake ...akawapeleka shule na mimi akanipeleka stand kisha akaniandikia namba kwenye kikaratasi nikipata changamoto yoyote nimpigie but kitu alichokuwa hakijui alijua sina simu
Kufika stand picha linaanza naendaje kambini na sipajui ukicheki na ule mteru wa story za jeshi
Basi mwana ikabidi nijiongeze kwenda migahawani kunywa chai ....nikaingia mgahawa flani nikaagiza chai na viazi utamu (Kumbuka lengo langu halikuwa chai ila nilijua kupitia migahawa lazima tu nitakutana na Mates wenzangu wanaoenda kambini...swali je nitawajuaje? Kwangu nilikuwa naangalia kigezo kimoja tu body appearance yaani upara) japo mm nilikuwa cjanyoa
Kweli mle mgahawani niliwapata km watano hivi tukajioganise tukawapata wengine km kumi tukakodi hiace tiyari kwa kwenda kambini
Kufika getini kabla hatujaingia tukapokelewa na rolling na kucrow ukaanza ukaguzi pale na siku ile pale getini ndio nilidondosha ile karatasi yenye namba za simu but sikujua km sikuile ndio niliidondosha
Nikawa offline muda kwa mazoezi na simu tulipokonywa but baada ya six week kulikuwa na utaratibu wa kwenda out mjini wenye walikuwa wakiita siku ya kupunguza uzito kuruti( yaani mikasi au kwa lugha nyingine ku-downlod na ku-upload upwiru😄😄)
Sasa si ndio natafuta ile namba mzee akanitembeze mji wa songea dah I was so dissapointed bwana ile😔😔😔🥺🥺, karatasi siioni na nilipanga nikampe fadhira kidogo nilizosave pocket money na zile posho za jkt za mwezi
NAkiri huyu ni mtu muhimu pia niliyepotezana nae Although I was too teeneger na yeye he was like, my father
Kama hii story anahisi alikuwa ni yeye please nicheki pm alinisaidia sana kwanza aliniamin na mm sikumuangusha