dogooo..yani mpaka leo hujui what a girl needs from a man??
1- mshobobo/mtalimbo usiolala dolo na shughuli uiweze
2- pesa na magari..maana hawa wenzetu hataki hatakuisiki kitu iitwayo shida
3- kidoogo utanashati uwepo
4- usiwe chapachapa..yani wanataka wakiwa na wewe uwe wake peke yake lakini pia wanaishi kwa hisia kuwa lazma wanaume tunachapa kizuri wasijue wanashare na nani
5- uwe mtu wa story sana na nyingi ziwe za uongo basi wao mioyo kwatuuu..maana imeandikwa hawa wenzetu wanaupenda na kuukubali uongo kuliko ukweli.
HAYA NDIO MAMBO BASIC AMBAYO MTOTO WA KIKE HANA JINSI YA KUKUENGU KATIKA VIGEZO VYA KUWA NAYE..HAWANA UJANJA WA KURUKA MTEGO WENYE VIGEZO HIVO HAPO JUU NA NIMEVIWEKA KWA MPANGILIO MAHUSUSI.
Umesahau kigezo muhimu cha shule a.k.a Elimu ya muhusika.Hilo linamatter sana watu hawataki kuwa na mazezeta maaana unaweza ishia kuzaa mtoto aliye na maji matupu kichwani!