Girls girls girls mhhh i have your attention now ( no men please :d)

bahati mbaya am a wife and a mother.....ningekuwa gelo ningejibu.....
 
dogooo..yani mpaka leo hujui what a girl needs from a man??
1- mshobobo/mtalimbo usiolala dolo na shughuli uiweze
2- pesa na magari..maana hawa wenzetu hataki hatakuisiki kitu iitwayo shida
3- kidoogo utanashati uwepo
4- usiwe chapachapa..yani wanataka wakiwa na wewe uwe wake peke yake lakini pia wanaishi kwa hisia kuwa lazma wanaume tunachapa kizuri wasijue wanashare na nani
5- uwe mtu wa story sana na nyingi ziwe za uongo basi wao mioyo kwatuuu..maana imeandikwa hawa wenzetu wanaupenda na kuukubali uongo kuliko ukweli.

HAYA NDIO MAMBO BASIC AMBAYO MTOTO WA KIKE HANA JINSI YA KUKUENGU KATIKA VIGEZO VYA KUWA NAYE..HAWANA UJANJA WA KURUKA MTEGO WENYE VIGEZO HIVO HAPO JUU NA NIMEVIWEKA KWA MPANGILIO MAHUSUSI.
 
dogooo..yani mpaka leo hujui what a girl needs from a man??
1- mshobobo/mtalimbo usiolala dolo na shughuli uiweze
2- pesa na magari..maana hawa wenzetu hataki hatakuisiki kitu iitwayo shida

3- kidoogo utanashati uwepo
4- usiwe chapachapa..yani wanataka wakiwa na wewe uwe wake peke yake lakini pia wanaishi kwa hisia kuwa lazma wanaume tunachapa kizuri wasijue wanashare na nani
5- uwe mtu wa story sana na nyingi ziwe za uongo basi wao mioyo kwatuuu..maana imeandikwa hawa wenzetu wanaupenda na kuukubali uongo kuliko ukweli.

HAYA NDIO MAMBO BASIC AMBAYO MTOTO WA KIKE HANA JINSI YA KUKUENGU KATIKA VIGEZO VYA KUWA NAYE..HAWANA UJANJA WA KURUKA MTEGO WENYE VIGEZO HIVO HAPO JUU NA NIMEVIWEKA KWA MPANGILIO MAHUSUSI.
hapo kwa rangi si kweli uko kwingine umepatia kidogo...
 
Ila kwa wengine si kweli? yawezekana kwako si kweli ila kwa wengine ndio namba 1 priority
tatizo wanaume waliofulia wanaishi kwa kujihisi sana...mapenzi ya kweli huna ukiachwa unasingizia kisa wewe maskini..tulieni muone kama na sisi hatujatulia
 
tatizo wanaume waliofulia wanaishi kwa kujihisi sana...mapenzi ya kweli huna ukiachwa unasingizia kisa wewe maskini..tulieni muone kama na sisi hatujatulia

Smile mbona unakwepa hoja? mii nimekueleza kama wewe mkwanja sio namba one priority wengine ndio.mbona hata kuna dada zetu huwa katika stori wanatueleza kuwa mwanaume asiye na mkwanja na usafiri NO! tena huwa wengine wana generalize wanaita mwanaume suruali!
 
hapo kwa rangi si kweli uko kwingine umepatia kidogo...

hiyo inakua si kweli hasa kwa wanawake ambao wana kazi zao na pesa zao, unakuta yeye hana shida ya hela anataka love peace and happiness...sema kuna walee masharobibi ambao yeye kuanzia hela za kununua rangi za kucha mpaka nyumba anataka apewe na mwanaume
 
Smile mbona unakwepa hoja? mii nimekueleza kama wewe mkwanja sio namba one priority wengine ndio.mbona hata kuna dada zetu huwa katika stori wanatueleza kuwa mwanaume asiye na mkwanja na usafiri NO! tena huwa wengine wana generalize wanaita mwanaume suruali!
sidhani kama kuna mtu atapewa mapenzi ya kweli kabisa aache kutulia....tulieni wanaume....tatizo hamtulii maquestion mark meengi mnatuwekea kichwani...mnategemea tutakaa..pesa si kitu kaka ..antention!
 
hiyo inakua si kweli hasa kwa wanawake ambao wana kazi zao na pesa zao, unakuta yeye hana shida ya hela anataka love peace and happiness...sema kuna walee masharobibi ambao yeye kuanzia hela za kununua rangi za kucha mpaka nyumba anataka apewe na mwanaume
teh iyo love mnayo?
 
teh iyo love mnayo?

kuna siku shemeji yangu mmoja aliniambia kua yeye kama mwanamke ashajiwekea kichwani kua akiwa kwenye rship na mwanaume ipo siku huyo mwanaume atakuja kumcheat yani hiyo ni lazima, anajiwekea hivyo ili asije akaumizwa rohoni. nikafikiria hiyo sentensi nikaona kuna ukweli wake, so love inaweza ikawepo na mwanaume anakupenda kweli lakini sijui kwanini at some point atacheat tu i wonder:mmph:
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom