napita tu jamani am not her ! Ila ngoja niache ujumbe. Wahaya tuna msemo uko hivi "enju tefunda shana emitima niyo efunda" maana yake ni kwamba nyumba huwa haibani kama nguo ila roho zetu ndo zinabana. Nyumba waweza kuishi na mtu yeyote yule sema roho zetu ndo hazitaki. Vile vile huwezi kumbadilisha mtu aishi kama wewe unavotaka ila huwa tunajaribu kum-turn ili awe kama watu wengine.