MTAZAMO
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 19,643
- 33,432
Anyway hawa wadada ni wapuuzi lakini huyu bwana itabidi tumfunze adabu! Hii picha inaonesha alitegwa! Imepigwa saa 4 usiku! Huyu atashughulikiwa soon! Amekera wengi lazima sheria zimhukumu maana watu wamekusanya data kibao! Maisha ya ujanja ujanja kwa watu kama hawa dawa yao ni kuwalengesha tu!Vyooooteeeeeee...