Nina acre 6 na kidogo miti miaka 7 Naziuza kwa @3m kila acre, Mafinga. Gari inafika hadi shamba.Habari za mchana ndugu wna jf nilikuwa napenda kuuliza kuhusiana na gharama za mashamba ya miti ya mbao kwa mikoya ya iringa na njomba hekari moja yenywe miti yenye umri wa miaka mitatu mpka minne kwa hivi sasa inaweza ikawa imefikia shing ngap
Habari za mchana ndugu wana JF
Nilikuwa napenda kuuliza kuhusiana na gharama za mashamba ya miti ya mbao kwa mikoa ya Iringa na Njomba hekari moja yenye miti yenye umri wa miaka mitatu mpaka minne kwa hivi sasa inaweza ikawa imefikia shilingi ngapi?
Ekari moja kwa miti pamoja na ardhi utapata kwa 1-2milions. Ila kama unawekeza miti tu..800k-1MHabari za mchana ndugu wana JF
Nilikuwa napenda kuuliza kuhusiana na gharama za mashamba ya miti ya mbao kwa mikoa ya Iringa na Njomba hekari moja yenye miti yenye umri wa miaka mitatu mpaka minne kwa hivi sasa inaweza ikawa imefikia shilingi ngapi?
Pia nina shamba eka 100,miti inamiaka 6 0673608867Ekari moja kwa miti pamoja na ardhi utapata kwa 1-2milions. Ila kama unawekeza miti tu..800k-1M
Nitafute boss 0673608867Huko sihitaji ni mikoa miwili tu Njombe na Iringa basi.