Sijawaelewa watu gani hao hawawezi kukupata?kwani wakikupata kuna shida gani?
tiba, kwa hizo bei alizoweka mkuu hupati lory kubwa la granite aggregates...lile lipo kwenye 1.million. pia ni subject ya kokoto zinapelekwa wapi maana nyingi hutoka msolwa mbele ya chalinze....naweza kukupa contact za jamaa yangu anayo-malory kwa ajili ya shughuli hizo kaagiza UK....uwasiliane naye kama mutafunga deal powa.Mkuu nahitaji kokoto nyeusi na mchanga kwa wingi. I might need trip kama 15 za kokoto na 15 za mchanga kwa lori kubwa la tani 18. Kama kuna mwenye gari unayemfahamu, please nipe contact zake.
Tiba
bulishit
tiba, kwa hizo bei alizoweka mkuu hupati lory kubwa la granite aggregates...lile lipo kwenye 1.million. pia ni subject ya kokoto zinapelekwa wapi maana nyingi hutoka msolwa mbele ya chalinze....naweza kukupa contact za jamaa yangu anayo-malory kwa ajili ya shughuli hizo kaagiza UK....uwasiliane naye kama mutafunga deal powa.
wandugu naomba kuuliza bei ya mabati ya kawaida na yale magumu ya south na gharama ya kuezeka nyumba ya square meter 100 inaweza tumia mabati kiasi gani nawasilisha